Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Una tatizo. Kujisifu kwa ngono zembe.
Kujisifu kufanya mapenzi na Mtumishi wa Kanisa, ni laana.
Ipo hivi, ukienda kusali na kuwaona hawa watumishi utakuwa unajuta sana, utapata mawazo na stress kuhusu kitendo chako hicho.
Ni afadhali ungekula na kukaa kimya, ila kuja huku na kutangaza hadharani, umewaumiza wengi na hakika unajua umeumiza na utajutia maana utakuwa unawaona hawa watumishi kanisani, na au ukienda nyumba yeyote ya ibada utakereka katika nafsi yako, kitu ambacho n kibaya na mzigo moyoni.
Unatakiwa kufikiri kabla ya kutenda.
Usicheze na Kanisa, maana laana ii juu yako
Kujisifu kufanya mapenzi na Mtumishi wa Kanisa, ni laana.
Ipo hivi, ukienda kusali na kuwaona hawa watumishi utakuwa unajuta sana, utapata mawazo na stress kuhusu kitendo chako hicho.
Ni afadhali ungekula na kukaa kimya, ila kuja huku na kutangaza hadharani, umewaumiza wengi na hakika unajua umeumiza na utajutia maana utakuwa unawaona hawa watumishi kanisani, na au ukienda nyumba yeyote ya ibada utakereka katika nafsi yako, kitu ambacho n kibaya na mzigo moyoni.
Unatakiwa kufikiri kabla ya kutenda.
Usicheze na Kanisa, maana laana ii juu yako