babyfancy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 2,176
- 6,187
[emoji23][emoji23]harafu katoa maada kamekaa kama kanaongopa vileHalafu kesho tukukute kanisani unalia uende mbinguni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]harafu katoa maada kamekaa kama kanaongopa vileHalafu kesho tukukute kanisani unalia uende mbinguni
huyu jamaa apewe urais wa chaputa duniani [emoji41]Mbona umecheka sana mkuu wangu [emoji28]
Kwanini hujawahi weweUnajisifia kuzini!!!!????
Papuchi hiyo ndio kazi yakeUmekosea sana. Umeangalia kujiridhisha wewe hukujali malengo na maono ya huyo dada
Dhambi kumla mtu papuchi acha utaninapendekeza mods wekeni jukwaa la dhambi na maovuu.
Halaf kutaja sijui singida mara kuhamishiwa Tanga, umri waweza umharibie humu, kwa anayemfahamu akiconnect dot atamjua. Labda km lengo ni kumharibia au kumtia aibu.
Sema sikulaumu kumla maana naelewa........ila naona ni km ulitaka kumkomoaa,
principle yangu hata km demu simpendi nitamheshm.
Hapa kiri usikiri, umemkosea heshima na kumdharirisha hata km hatumjui.
Kila mtu ana nyege labda hawe na matatizi ya kibailojia sasa kama ana hamu afanyejeShetani kazini
Hakuna kitu kama ichoUna tatizo. Kujisifu kwa ngono zembe.
Kujisifu kufanya mapenzi na Mtumishi wa Kanisa, ni laana.
Ipo hivi, ukienda kusali na kuwaona hawa watumishi utakuwa unajuta sana, utapata mawazo na stress kuhusu kitendo chako hicho.
Ni afadhali ungekula na kukaa kimya, ila kuja huku na kutangaza hadharani, umewaumiza wengi na hakika unajua umeumiza na utajutia maana utakuwa unawaona hawa watumishi kanisani, na au ukienda nyumba yeyote ya ibada utakereka katika nafsi yako, kitu ambacho n kibaya na mzigo moyoni.
Unatakiwa kufikiri kabla ya kutenda.
Usicheze na Kanisa, maana laana ii juu yako
nadhani hukunielewa mkuu,Dhambi kumla mtu papuchi acha utani
Mkuu kwani yeye mwenyewe hajijui malengo yake bwana...Umekosea sana. Umeangalia kujiridhisha wewe hukujali malengo na maono ya huyo dada
Umekosea sana. Umeangalia kujiridhisha wewe hukujali malengo na maono ya huyo dada