Hatimae nimekula mwanafunzi wa kitawa

Hatimae nimekula mwanafunzi wa kitawa

Haya jitahidi sasa utimize ndoto muhimu zaidi ya kuondokana na umasikini wako na kuinua familia yako na taifa lako...
 
ha ha ha ha kula tu mkuu;umefanya vizuri kutuliza hisia zake
 
napendekeza mods wekeni jukwaa la dhambi na maovuu.
Halaf kutaja sijui singida mara kuhamishiwa Tanga, umri waweza umharibie humu, kwa anayemfahamu akiconnect dot atamjua. Labda km lengo ni kumharibia au kumtia aibu.

Sema sikulaumu kumla maana naelewa........ila naona ni km ulitaka kumkomoaa,
principle yangu hata km demu simpendi nitamheshm.

Hapa kiri usikiri, umemkosea heshima na kumdharirisha hata km hatumjui.
Dhambi kumla mtu papuchi acha utani
 
Una tatizo. Kujisifu kwa ngono zembe.
Kujisifu kufanya mapenzi na Mtumishi wa Kanisa, ni laana.
Ipo hivi, ukienda kusali na kuwaona hawa watumishi utakuwa unajuta sana, utapata mawazo na stress kuhusu kitendo chako hicho.
Ni afadhali ungekula na kukaa kimya, ila kuja huku na kutangaza hadharani, umewaumiza wengi na hakika unajua umeumiza na utajutia maana utakuwa unawaona hawa watumishi kanisani, na au ukienda nyumba yeyote ya ibada utakereka katika nafsi yako, kitu ambacho n kibaya na mzigo moyoni.
Unatakiwa kufikiri kabla ya kutenda.
Usicheze na Kanisa, maana laana ii juu yako
Hakuna kitu kama icho
 
Kesho wewe na yeye wote mtakuwa mstari wa mbele kuombewa ...

Dooh! Kazi kweli kweli
 
Jamaa kasema demu alitaka mwenyewe na baada ya kuchezewa akahitaji bora aingiziwe kichwa cha mkunyenge ndo mambo yakawa vile
Umekosea sana. Umeangalia kujiridhisha wewe hukujali malengo na maono ya huyo dada
 
Back
Top Bottom