Hatimae nimekula mwanafunzi wa kitawa

Hii ni simulizi ya kutungwa na huenda mtunzi ni impotent
 
Maisha yako yanaweza kuwa ya laana milele. AMINA
 
Huna tofauti na huyu

Devil: young man what brings u here?
Man: I masturbated with anointing oil
Devil:[emoji15][emoji15][emoji15]
God: Jesus come and see that wasted sperm I was talking about
 
Bora tu umuoe kabisa chif,,kuoa mwanamke ulie mtoa bikra ni amani sana kwa mwanaume,
 
Daah eti watu wanampa hongera
mwenyewe sitak kuamini km kweli wanamaanisha,

Binafsi kilichonishangaza nikumfungulia uzi humu.
Ndio mtawa kakosea ila ni baada ya kushawishiwa sana, na mtoa mada kakiri hilo,
hilo tu pengne linamtesa, akijua kafunguliwa uzi hv sijui atajskiaje.
 
Utawa ndo mwisho wake wana vipimo mpaka basi amechemsha hyyo kawaka tamaa.
 
ndoto si kuing'oa CCM madarakani hata kumla Mtawa ni ndoto pia
 
Na ninyi akina dada tafuteni watawa wa kiume ili muje huku JF kujisifu.Jamani kuwa mtawa hakukuondolei ubinadamu “with all its fallibility”.
Sifa nyingine ni za kitoto mno hazipaswi kuletwa huku kwenye “home of great thinkers”
 
Hatahivi kasema akihitaji sijui itakuwaje maana hawaruhusiwi Simu wala kutoka hivyo huwa wanadandiana
wewe fanya namna mkuu hata kwa kumvizia kizamani kwan tulikuwa tunafukuziaje mademu bila simu?

ila wanadandiana kivipi tena?
 
Kwa kifupi hapo umekopa! Sasa subiri deni litalipiwa na mwenye jinsia KE yoyote kutoka kwa familia yako.
 
Mmmmh ukute uongo mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…