Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,833
Kuendesha kwenyewe ni gym toshaHapo kwenye gym ndipo ulipoanza kufeli.
Nashukuru SanaGym na business cards ni unnecessary moves ambazo zitakuongezea gharama za uendeshaji. Ushauri wangu kula vizuri, fanya kazi sehemu yenye movement nzuri na uaminifu kwa wateja wako utatoboa.
Oya !Upo mkoa Gani ?Naunapiga root Gani ?Habari JF
Baada ya kupambana kwa muda mrefu Sasa nimepata Bajaj ya mkataba!
Nikimaliza itakuwa Yangu!
Ubunifu ntakao ufanya Ni Kama ifuatavyo.
Nitaandaa Business card sizizo pungua 100
Nitakuwa Ninampa abiria ili tuwe na ukaribu wa kazi.
Kama Kuna mtu analakuongezea karibu Sana.
Mkataba msingi wake Ni afya
Kwaiyo nitaanza ratiba ya kwenda Gym Kila siku usiku ili magonjwa yasiwe changamoto kwangu!
Naombeni Kama Kuna ushauri au lolote mnisaidie
Sawa mkuu nimekuelewa ahsante SanaNenda kajikinge na ukikinge kifaa chako..dunia sio mbaya ila walimwengu wabaya.
#MaendeleoHayanaChama
Sawa Kaka.Usipende bia za ofa utaibiwa chombo
Sawa mkuu Ila naona mazoezi Ni muhimu maana kuumwa ndio sababu ya kushindwa kurejesha au unasemajeGym na business cards ni unnecessary moves ambazo zitakuongezea gharama za uendeshaji. Ushauri wangu kula vizuri, fanya kazi sehemu yenye movement nzuri na uaminifu kwa wateja wako utatoboa.
Kigamboni mkuuOya !Upo mkoa Gani ?Naunapiga root Gani ?
Madereva bajaj hela tunapata tatizo chupiUaminifu, heshimu na Linda mkataba , funga zipu , usifungue vizibo vya chupa utatoka