Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,833
Habari JF
Baada ya kupambana kwa muda mrefu Sasa nimepata Bajaj ya mkataba!
Nikimaliza itakuwa Yangu!
Ubunifu ntakao ufanya Ni Kama ifuatavyo.
Nitaandaa Business card sizizo pungua 100
Nitakuwa Ninampa abiria ili tuwe na ukaribu wa kazi.
Kama Kuna mtu analakuongezea karibu Sana.
Mkataba msingi wake Ni afya
Kwaiyo nitaanza ratiba ya kwenda Gym Kila siku usiku ili magonjwa yasiwe changamoto kwangu!
Naombeni Kama Kuna ushauri au lolote mnisaidie
Baada ya kupambana kwa muda mrefu Sasa nimepata Bajaj ya mkataba!
Nikimaliza itakuwa Yangu!
Ubunifu ntakao ufanya Ni Kama ifuatavyo.
Nitaandaa Business card sizizo pungua 100
Nitakuwa Ninampa abiria ili tuwe na ukaribu wa kazi.
Kama Kuna mtu analakuongezea karibu Sana.
Mkataba msingi wake Ni afya
Kwaiyo nitaanza ratiba ya kwenda Gym Kila siku usiku ili magonjwa yasiwe changamoto kwangu!
Naombeni Kama Kuna ushauri au lolote mnisaidie