Hatimae nimeweza kupika chapati

Hatimae nimeweza kupika chapati

lol! Hahahahaha Evelyn Salt chapati zake mwanzoni zilikuwa zina muonekano kama huu na mwenyewe akasema mduara kawaachia mamodel ila siku hizi mduara naye anauweza sana. Nadhani nimeeleweka.
IMG-20161031-WA0029.jpg
 
[emoji3][emoji3][emoji3]hazijaiva na umezipunja mafuta
[emoji45] [emoji45] [emoji45] [emoji45] [emoji45]
unakosea kujibu hivyo usi

unakosea kujibu hivyo usitawaliwe na kumtetea tu mtu au kuwa na jazba,nilidhani utamfundisha vipi ziwe raundi kumbe nawe hujui,basi me ngoja nimfundishe, am a corporate chef by proffesion kwa hyo mtu akikosea unaona,na ni vizuri kumkosoa!
 
unatumia unga aina gani?pili unasukumia mduara kwenye flat surface au kibao cha chapati?unatumia mafuta aina gani wakati wa kukanda na wakati wa kusukuma?mafuta ya baridi au ya vuguvugu?maji je?
Maji vuguvugu

Mafuta yakukandia ya baridi

Natumia kibao chachapati kusukumia lakini naona kinabonde katikati ........nmekiazima kwa jirani
 
Me sitaki kumkatisha tamaa nataka kumfundisha sio chapati tu,ntamfundisha vitafunwa vingi tu,yeye tu na mda wake,and believe u me,she will be an expert,tena ntamfundisha bure if she is willing!chapati ina taste,muonekano yaani rangi ,texture yake na shape yake,kisikosekane hata kimoja ndipo itaitwa chapati.kaka zako labda walikuwa hawazijui ndio maana wakakusifu maybe mkuu!African men are not cooks unless awe amesomea!u wana join the class?
[emoji144] [emoji144] [emoji144] nifundishe basi mkuu

Natanguliza shukrani
 
Maji vuguvugu

Mafuta yakukandia ya baridi

Natumia kibao chachapati kusukumia lakini naona kinabonde katikati ........nmekiazima kwa jirani
Tumia unga wa ppf,maji ya vuguvugu,mafuta ya vuguvugu,chunvi na ukipenda sukari kidogo,chunvi na sukari ina combination nzuri kutaste,then ukimaliza kukanda unausukuma duara moja kubwa unapaka marharine,au blueband unatengeneza duara individual.kusukuma uwe unasukuma upande mmoja inakuwa oval shape then unazunguusha kibao unasukuma oval nyingine against the first one unapata duara kirahisi,weka unga wa kutosha kwenye kibao wakati unasukuma hyo duara shape,usiweke unga mwingi,unga wa kutosha!Mwisho kabisa nunua kibao chako ni elfu 3 kama sio elfu 2!usiazime vitu vya kawaida azima labda gari!hahahaha!
 
Tumia unga wa ppf,maji ya vuguvugu,mafuta ya vuguvugu,chunvi na ukipenda sukari kidogo,chunvi na sukari ina combination nzuri kutaste,then ukimaliza kukanda unausukuma duara moja kubwa unapaka marharine,au blueband unatengeneza duara individual.kusukuma uwe unasukuma upande mmoja inakuwa oval shape then unazunguusha kibao unasukuma oval nyingine against the first one unapata duara kirahisi,weka unga wa kutosha kwenye kibao wakati unasukuma hyo duara shape,usiweke unga mwingi,unga wa kutosha!Mwisho kabisa nunua kibao chako ni elfu 3 kama sio elfu 2!usiazime vitu vya kawaida azima labda gari!hahahaha!
Asante kwa maelekezo ntajaribu sasa
 
Back
Top Bottom