Walimlaghai?Raisi Putin asema alishakubaliana rasmi na Ukraine kumaliza Vita baada ya Ukraine kukubali kuwa nchi huru bila NATO na aliahidi ulinzi dhidi ya Ukraine in future ila aliomba uwe mkataba wa siri lakini Ukraine ikawageuka tena tizama huu mkataba aliwaambia Maraisi wa Africa... so ndio maana haachi kupigana... Tizama Video
View attachment 2663507
SawaMkuu upo Darasa la Ngapi? Jitahidi kuishi maisha ya kupevuka na inafika time utoto unauacha.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu upo Darasa la Ngapi? Jitahidi kuishi maisha ya kupevuka na inafika time utoto unauacha.
Anaepigiwa nani UKRAINE [emoji1255] imeharibika naitazidi kuharibika mpaka watakapokua na adabuYaani avamie nchi za watu, aue watu halafu alazimishe mkataba wa kitapeli?
War is fought on deception. Kama aliibeep Ukraine sasa inampigia.
Umewasahau wayahudi (wamarekani)Hakuna watu wanapiga propaganda kama Warusi.
Putin ni mkenya!
Amekuja na wale wasudani yuko hapo mloganzilaPu
Putin ni mkenya!
Ila ashukuriwe sana Mungu kwa kuwapa hawa jamaa rangi nyeupe , wangekuwa weusi wangetisha sana
Bado una mengi ya kujifunza!Tulia tu,utaelewa taratibu!Yaani avamie nchi za watu, aue watu halafu alazimishe mkataba wa kitapeli?
War is fought on deception. Kama aliibeep Ukraine sasa inampigia.
Was DP world part necessary?Raisi Putin asema alishakubaliana rasmi na Ukraine kumaliza Vita baada ya Ukraine kukubali kuwa nchi huru bila NATO na aliahidi ulinzi dhidi ya Ukraine in future ila aliomba uwe mkataba wa siri lakini Ukraine ikawageuka tena tizama huu mkataba aliwaambia Maraisi wa Africa... so ndio maana haachi kupigana... Tizama Video..
Umenikumbusha DP Word Maraisi washakubaliana and raia wanagoma wengine wanaandamana
View attachment 2663507