Muongoo huyu Kyiv aliivamia kichwa kichwa akala shaba wanajeshi wengi sana alipoteza na ndio kisa cha kushindwa vita ya ardhini na kuhamia angani ambako sasa kuna mifumo maalum Kyiv ya kuzuia shambulio lolote la anga linalokusudia Kyiv.Raisi Putin asema alishakubaliana rasmi na Ukraine kumaliza Vita baada ya Ukraine kukubali kuwa nchi huru bila NATO na aliahidi ulinzi dhidi ya Ukraine in future ila aliomba uwe mkataba wa siri lakini Ukraine ikawageuka tena tizama huu mkataba aliwaambia Maraisi wa Africa... so ndio maana haachi kupigana... Tizama Video..
Umenikumbusha DP Word Maraisi washakubaliana and raia wanagoma wengine wanaandamana
View attachment 2663507
Putin hajawahi kusema ukweli, sasa kama walikubaliana yeye kutoshambulia Kyiv mbona bado anarusha missiles uchwara kila siku na kupanguliwa?
Russia ilipoivamia Ukraine ilisha control eneo la miji ya Ukraine mfano wa nchi ya Newzerland ukitoa Kyiv mbona kote huko walirudishwa nyuma na sasa anapigana bakhmut mpakani taaban nafsi yake.
Alisema operation ya Ukraine itam-cost only three days sasa haamini anachokishuhudia