Hatimae Putin aweka makubaliano yake na Zelesky wazi hadi aliamua kuondosha majeshi yake Kiev

Hatimae Putin aweka makubaliano yake na Zelesky wazi hadi aliamua kuondosha majeshi yake Kiev

Raisi Putin asema alishakubaliana rasmi na Ukraine kumaliza Vita baada ya Ukraine kukubali kuwa nchi huru bila NATO na aliahidi ulinzi dhidi ya Ukraine in future ila aliomba uwe mkataba wa siri lakini Ukraine ikawageuka tena tizama huu mkataba aliwaambia Maraisi wa Africa... so ndio maana haachi kupigana... Tizama Video..

Umenikumbusha DP Word Maraisi washakubaliana and raia wanagoma wengine wanaandamana

View attachment 2663507
Muongoo huyu Kyiv aliivamia kichwa kichwa akala shaba wanajeshi wengi sana alipoteza na ndio kisa cha kushindwa vita ya ardhini na kuhamia angani ambako sasa kuna mifumo maalum Kyiv ya kuzuia shambulio lolote la anga linalokusudia Kyiv.

Putin hajawahi kusema ukweli, sasa kama walikubaliana yeye kutoshambulia Kyiv mbona bado anarusha missiles uchwara kila siku na kupanguliwa?

Russia ilipoivamia Ukraine ilisha control eneo la miji ya Ukraine mfano wa nchi ya Newzerland ukitoa Kyiv mbona kote huko walirudishwa nyuma na sasa anapigana bakhmut mpakani taaban nafsi yake.

Alisema operation ya Ukraine itam-cost only three days sasa haamini anachokishuhudia
 
Anaepigiwa nani UKRAINE [emoji1255] imeharibika naitazidi kuharibika mpaka watakapokua na adabu
UKRAINE [emoji1255] imetaka yenyewe kupigwa naacha ipigwe mpaka itakapokua na adabu itasamehewa
Kwamujibu wa DW kiswahili leo asubuhi wanasema mpaka Sasa 20% au zaidi ya ardhi ya UKRAINE [emoji1255] ipo chini ya milki ya Russia [emoji635]
Sawa acha UKRAINE [emoji1255] aendelee kupiga
be carefully sasa mwaka 2, kumbuka putin alisema three days atakuwa amemaliza kazi na kuyapa masaa majeshi ya ukraine ili wajisalimishe, lakin jamaa wakaamua kupiga mzigo hadi sasa putin mavi kitambaani, watu wanaendelea kukomboa mijio huko iliyoibwa na vamizi dikteta putin
 
be carefully sasa mwaka 2, kumbuka putin alisema three days atakuwa amemaliza kazi na kuyapa masaa majeshi ya ukraine ili wajisalimishe, lakin jamaa wakaamua kupiga mzigo hadi sasa putin mavi kitambaani, watu wanaendelea kukomboa mijio huko iliyoibwa na vamizi dikteta putin
Tupe hiyo kumbukumbu hapa ya 3 days aliyosema Putin!
 
Huyu pinbi anawachukulia wale marais wa Afrika ni mapimbi kama warusi anaowaburuza! Yaani Umemvamia mtu alafu ukae naye kwenye Mazungumzo? Kama anafikiri Zele kakiuka makubaliano aivamie tena Kiev kama alivyofanya tena tuona kama ubavu anao
 
be carefully sasa mwaka 2, kumbuka putin alisema three days atakuwa amemaliza kazi na kuyapa masaa majeshi ya ukraine ili wajisalimishe, lakin jamaa wakaamua kupiga mzigo hadi sasa putin mavi kitambaani, watu wanaendelea kukomboa mijio huko iliyoibwa na vamizi dikteta putin
Nato ndio wanapogana kwenye ardhi ya ukreine
 
Raisi Putin asema alishakubaliana rasmi na Ukraine kumaliza Vita baada ya Ukraine kukubali kuwa nchi huru bila NATO na aliahidi ulinzi dhidi ya Ukraine in future ila aliomba uwe mkataba wa siri lakini Ukraine ikawageuka tena tizama huu mkataba aliwaambia Maraisi wa Africa... so ndio maana haachi kupigana... Tizama Video..

Umenikumbusha DP Word Maraisi washakubaliana and raia wanagoma wengine wanaandamana

View attachment 2663507
Kwan lin Ukraine ilituma maombi ya kujiunga na NATO ? mpk useme ilivunja mkataba , elimu mbovu imezaa vichaa hata mikataba hamsomi mnasaini tu
 
Mkataba wa Siri tena baina ya Marais wawili ila wewe unao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Another Hollywood made[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Kilaza huyo , halaf anasema mkataba ulihusu kutojiunga na NATO ila Ukraine akavunja , sasa atuambie lin Ukraine alituma maombi ya kujiunga na NATO
 
Mkuu upo Darasa la Ngapi? Jitahidi kuishi maisha ya kupevuka na inafika time utoto unauacha.
Na ww na akili zako unaamin mkataba wa kujiunga na NATO ila Ukraine akavunja , sasa lin Ukraine alituma maombi ya kujiunga na NATO?
 
Muongoo huyu Kyiv aliivamia kichwa kichwa akala shaba wanajeshi wengi sana alipoteza na ndio kisa cha kushindwa vita ya ardhini na kuhamia angani ambako sasa kuna mifumo maalum Kyiv ya kuzuia shambulio lolote la anga linalokusudia Kyiv.

Putin hajawahi kusema ukweli, sasa kama walikubaliana yeye kutoshambulia Kyiv mbona bado anarusha missiles uchwara kila siku na kupanguliwa?

Russia ilipoivamia Ukraine ilisha control eneo la miji ya Ukraine mfano wa nchi ya Newzerland ukitoa Kyiv mbona kote huko walirudishwa nyuma na sasa anapigana bakhmut mpakani taaban nafsi yake.

Alisema operation ya Ukraine itam-cost only three days sasa haamini anachokishuhudia
Anachofanya Urusi kwa Ukraine , ndo alichofanya Iraq kwa Iran au N.Korea kwa S korea , kila mkasa uliishia mnyonge kuwa imara zaidi ya mbabe na huu wa Urusi utaishia hivyo , Urusi anaifanya Ukraine iwe imara zaidi kwa misaada na training , na ndio maana USA anaogopa sana vamia majiran maana watapata msaada na training ambapo baada ya vita hawatakuwa wale wazamani
 
Tupe hiyo kumbukumbu hapa ya 3 days aliyosema Putin!
Hahaa nakumbuka ulikuwa miongon mwa waliodai itakuwa mission ya muda mfupi sana , leo unadai kumbukumbu , mmechanganyikiwa ?
 
Tupe hiyo kumbukumbu hapa ya 3 days aliyosema Putin!
Hawama baadhi ya jamaa hawa ujisemea chochote kinacho X their mind, ukweli wa mambo Putin hata siku moja hajawahi kutoa kauli ya namna hiyo - mabeberu kutokana na propaganda zao ndio ulaghai watu eti Putin aliwahi kisema atamaliza kazi ndani ya siku tatu!! Uongo mtupu wa US and like mind wenzake, wakutaka kudhilisha kwamba Kuna uwezekano mkubwa wa Uktaine kuishonda Urusi hizo ndio nfoto za mchana za mataifa ya kibeberu wako radhi hata WW3 inayo involve thermonuclear Xchange itokee wakiwa na lengo la kutaka kuhalikisha Ukraine inaishinda Urusi kwa gharama yoyote ile.
 
Mwisho wa vita ni meza ya mazungumzo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mabeberu walishachoka,sasa wanazungumzia, ujenzi wa nchi waliyochochea kubomolewa kwayo,ila mwenye nchi pamoja na rais wake bado kutambua kama wamesha chokaa,na sasa wanaangalia watanufaika vipi na ujenzi mpya,na huenda ndio watakao lazimisha kupatikana kwa suluhu,ili waanze kuvuna kwenye ujenzi mpya😂😂😂
 
be carefully sasa mwaka 2, kumbuka putin alisema three days atakuwa amemaliza kazi na kuyapa masaa majeshi ya ukraine ili wajisalimishe, lakin jamaa wakaamua kupiga mzigo hadi sasa putin mavi kitambaani, watu wanaendelea kukomboa mijio huko iliyoibwa na vamizi dikteta putin
Nasikia mshaikomboa BAKHMUT hongereni sana
 
Back
Top Bottom