Hatimae Putin aweka makubaliano yake na Zelesky wazi hadi aliamua kuondosha majeshi yake Kiev

Hatimae Putin aweka makubaliano yake na Zelesky wazi hadi aliamua kuondosha majeshi yake Kiev

An a chef anya Urusi kwa Ukraine , ndo alichofanya Iraq kwa Iran au N.Korea kwa S korea , kila mkasa uliishia mnyonge kuwa imara zaidi ya mbabe na huu wa Urusi utaishia hivyo , Urusi anaifanya Ukraine iwe imara zaidi kwa misaada na training , na ndio maana USA anaogopa sana vamia majiran maana watapata msaada na training ambapo baada ya vita hawatakuwa wale wazamani
Huu msaada na training kutoka NATO matokeo yake yalionekana juzi juzi hapa, baada ya majeshi ya Ukraine and some NATO troops kutandikwa vilivyo na majeshi ya Urusi baada ya Zelensky kutamba kwamba yuko mbioni kutekeleza mpango wake kabambe wa counter offensive dhidi ya majeshi ya Urusi.

Kila mtu mwenye akili timamu aliona kilicho wapata jeshi la Ukraine licha ya kuwa na msaada wa silaha nyingi kutoka NATO specifically the USA, mbona vifaru vyao na magari ya deraya pamoja ni Patriot ADS vyote vilitiwa kiberiti kwa kutumia silaha za Russia, Dunia akishuhudia for the first time jinsi silaha za Russia zilivyo more effective.
 
Huu msaada na training kutoka NATO matokeo yake yalionekana juzi juzi hapa, baada ya majeshi ya Ukraine and some NATO troops kutandikwa vilivyo na majeshi ya Urusi baada ya Zelensky kutamba kwamba yuko mbioni kutekeleza mpango wake kabambe wa counter offensive dhidi ya majeshi ya Urusi.

Kila mtu mwenye akili timamu aliona kilicho wapata jeshi la Ukraine licha ya kuwa na msaada wa silaha nyingi kutoka NATO specifically the USA, mbona vifaru vyao na magari ya deraya pamoja ni Patriot ADS vyote vilitiwa kiberiti kwa kutumia silaha za Russia, Dunia akishuhudia for the first time jinsi silaha za Russia zilivyo more effective.
Ndio maana mauzo ya silaha za Urusi yameanguka duniani huku ya US na Ufaransa yakiongezeka??
 
Kwan lin Ukraine ilituma maombi ya kujiunga na NATO ? mpk useme ilivunja mkataba , elimu mbovu imezaa vichaa hata mikataba hamsomi mnasaini tu
Hakuna elimu nzuri duniani zaidi ya utu.mengine makaratasi tu.
 
Back
Top Bottom