Hatimae tunamiliki TATA yetu baada ya kumaliza marejesho

hujanielewa kidogo mkuu ni kuwa hiyo milioni 60 unailipa ndani ya miezi 12 Ina maana unaigawa hiyo 60 kwa 12 kwa hiyo kila mwezi unapeleka milioni 5. Naamini umenielewa mkuu.
 
Natumaini mtoa mada umeyaona haya Maswali, sio mbaya tukikapata majibu kuna kitu tutajifunza.
 
hujanielewa kidogo mkuu ni kuwa hiyo milioni 60 unailipa ndani ya miezi 12 Ina maana unaigawa hiyo 60 kwa 12 kwa hiyo kila mwezi unapeleka milioni 5. Naamini umenielewa mkuu.
Mkuu naomba soma hii hesabu nazani jamaa ndio swali lake lipo hapo:.
60,000,000/12(miezi) = 5,000,000
5,000,000/30(siku) = 166,666.66667

Hii ina maanisha kila siku ulitakiwa kusanya 167,000 ili mwisho wa mwezi upeleke millioni 5!.
Navojua kwa dsm, boss kwa siku anapewa laki 1 kwa costa (sijajua TATA bei gani)
 
Nilimjibu member anayeitwa Fromsirwithlove aliekuwa mchangiaji no 16 masaa sita yaliyopita.Asante Kwa kuelewa
 
Ni naona wewe ni marketing officer wa hiyo muhindi na hizo TATA zake kama vipi weka tu mawasiliano yake
Watu wamcheki
Ahsante
 
Nilishajibu soma ndugu[emoji26]
Kama ulishajibu asante sana. Ila nasikia Gachuma anauza hizo gari pia though sijui kama ni TATA starbus au marcopolo!!! Ndio maana nilitaka jibu ambalo umesema umejibu japo sijaona, yeye(Gachuma) anauza M70. Kama ungejibu ningepiga maswali pia lakini asante.
 
Nina wasi wasi hii TATA ililala yombo na huyu memba. Tokea April 2018 hajawahi tia mguu JF. Hizi kazi za barabarani tumwachie mola roho zetu

Hapana. Huenda aliona humu kuna watu waoga sana wa kujaribu akaona ajikite kwenye biashara.

Huenda basi ziliongezeka. Inabidi tujifunze kutoka kwake.
 
Mtafilisika heeee kula gani huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…