Hatimae Ukraine imesherehekea Christmas tarehe 25 December kwa mara ya kwanza katika historia

Hatimae Ukraine imesherehekea Christmas tarehe 25 December kwa mara ya kwanza katika historia

Kumbe dini inapangiwa na kuamuriwa mambo na wanasiasa?
Mbona huwa mnapangiwa mpaka mtu mmoja aone mwezi ndiyo atangaze?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Waarabu wanakula idd ijumaa na wale wa ngozi nyeusi wanakula jumamosi.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Christmass ni tarehe 25 ulimwengu kote. Ikifikia wewe ni kusherehekea tu ila kwa idd ni tofauti mpaka uone mwezi. Atakayewahi kuona mwezi ndiyo anakula. Mwingine anakula ijumaa, mwingine Jumamosi na mwingine jumapili hata J3 mpk uone mweziπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Cheki maputo hayo ya Merry Christmass
 
Mkiambiwa dini yenu ni ya mchongo mnaanza kutukana kama vichaa.
Sasa hiyo ni dini gani ambayo utaratibu wake wa ibada unabadilika kutokana na matakwa ya watu fulani tena wanasiasa?



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Katafute chanzo cha kalenda na kuna aina ngapi za kalenda hapa duniani, vile vile ukristo siyo dhehebu ni imani na ndani ya imani ndipo kuna madhehebu mengi ya kila aina kama walivyo waislam....
 
Mbona huwa mnapangiwa mpaka mtu mmoja aone mwezi ndiyo atangaze?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Waarabu wanakula idd ijumaa na wale wa ngozi nyeusi wanakula jumamosi.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Christmass ni tarehe 25 ulimwengu kote. Ikifikia wewe ni kusherehekea tu ila kwa idd ni tofauti mpaka uone mwezi. Atakayewahi kuona mwezi ndiyo anakula. Mwingine anakula ijumaa, mwingine Jumamosi na mwingine jumapili hata J3 mpk uone mweziπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Cheki maputo hayo ya Merry Christmass
Mkuu mbona unachanganya mambo! Kusherehekea/kuadhimisha kitu kwa kuona mwezi kuna siasa gani? Kwahiyo huo mwezi hua unaonwa na mwanasiasa ndo anawaambia waislam kesho sherehekeeni au anzeni kufunga? Ila pia hapo unaposema wakiristo wote wanasherekea xmas tar 25 dec nadhani ni uongo otherwise kwanini Zelenskyy kabadili utaratibu? Unaongelea wakristo wote au baadhi ya madhehebu kwenye ukiristo?

Kama utanijibuusijichekeshe
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Quran 46: 09 (Muhamad mwenyewe anasema)
Sema: Mimi si kiroja miongoni mwa Mitume. Wala sijui nitakavyo fanywa wala nyinyi. Mimi nafuata niliyo funuliwa tu kwa Wahyi, Wala mimi si chochote ila ni mwonyaji mwenye kudhihirisha wazi

Mabikra 72.
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337β€”β€œAbu Umama amesimulia: β€œMtume wa Allah swt amesema, β€˜Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337β€”β€œAbu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”

Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-

Quran 37:48-49:

And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.

β€œ...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.
Ndiyo maana kujitoa kafara ili kuwahi warembo huko kwenye mbingu yao hawaoni ajabu.....ni mwendo wa kujiripua tu...
 
Kikubwa mkombozi wetu alishazaliwa hakuna ulazuma saaana wa kujua tarehe hasa aliyozaliwa
 
Mkuu mbona unachanganya mambo! Kusherehekea/kuadhimisha kitu kwa kuona mwezi kuna siasa gani? Kwahiyo huo mwezi hua unaonwa na mwanasiasa ndo anawaambia waislam kesho sherehekeeni au anzeni kufunga? Ila pia hapo unaposema wakiristo wote wanasherekea xmas tar 25 dec nadhani ni uongo otherwise kwanini Zelenskyy kabadili utaratibu? Unaongelea wakristo wote au baadhi ya madhehebu kwenye ukiristo?

Kama utanijibuusijichekeshe
Maulidi imeandikwa ni siku gani kwenye Quran?
Hiyo mada yako kapost kwenye social media za kiarabuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mmesema yote ila kwa hili la kuona jinsia moja kanisani mliangalie msishupaze shingo.
 
Maulidi imeandikwa ni siku gani kwenye Quran?
Hiyo mada yako kapost kwenye social media za kiarabuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kwahiyo maulid ilimariwa na mwanasiasa kama ilivofanyika Ukraine? Hoja yangu iko hapa
 
Kwahiyo maulid ilimariwa na mwanasiasa kama ilivofanyika Ukraine? Hoja yangu iko hapa
Inamliwa kutokana na shehe alieona mwezi kila mtu anakula kivyake inategemea na uvumilivu wa njaa ya shehe wengine leo wengine jana wengine keshokutwa mradi vulugu tu
 
Inamliwa kutokana na shehe alieona mwezi kila mtu anakula kivyake inategemea na uvumilivu wa njaa ya shehe wengine leo wengine jana wengine keshokutwa mradi vulugu tu
Mkuu hili mnaliongezea chumvi nyingi lakini uhalisia ni kwamba kwa tofauti ya masaa na hali ya hewa haiwezekani wote muuone mwezi kwa siku moja. Kwahiyo Zelenskyy akigombana tena na nato ambao majority wanasherehekea xmas 25 dec atabadili tena tarehe?
 
Nyuzi za kidini zinakuaga na wangese sana wanajifanya mbingu yao.
 
Kwenya Ukristo hiyo sikukuu sio ibada, kula sio ibada, hata kwenda haja sio ibada unatangulia mguu wowote tu au hata ukiingia kinyumenyume ni sawa.
Kwa hiyo siku ya sikuu huwa mnaenda kanisani kucheza disco we sio kufanya ibada?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Merry Christmas wakristo wote.

Ni furaha iliyoje kwa wa-ukraine kusherekea sikukuu ya krismas tofauti na utaratibu wa awali waliokuwa wanatumia kutoka kanisa la Orthodox huko Russia yaani tarehe 07/01 kila mwaka.

Many Ukrainian Orthodox Christians are celebrating Christmas on 25 December for the first time this year.
Ukraine has traditionally used the Julian calendar, also used by Russia, where Christmas falls on 7 January.
In a further shift from Russia, it is now marking Christmas according to the Western – or Gregorian – calendar, which it uses in everyday life.
Ukrainian President Volodymyr Zelensky changed the law in July, saying it allowed Ukrainians to β€œabandon the Russian heritage” of celebrating Christmas in January.
In a Christmas message issued on Sunday evening, Mr Zelensky said all Ukrainians were now together.
β€œWe all celebrate Christmas together. On the same date, as one big family, as one nation, as one united country.”

In the capital Kyiv, married couple Lesia Shestakova, a Catholic, and Oleksandr Shestakov, who is Orthodox, are celebrating Christmas together.

Source: Daily news


 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Quran 46: 09 (Muhamad mwenyewe anasema)
Sema: Mimi si kiroja miongoni mwa Mitume. Wala sijui nitakavyo fanywa wala nyinyi. Mimi nafuata niliyo funuliwa tu kwa Wahyi, Wala mimi si chochote ila ni mwonyaji mwenye kudhihirisha wazi

Mabikra 72.
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337β€”β€œAbu Umama amesimulia: β€œMtume wa Allah swt amesema, β€˜Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337β€”β€œAbu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”

Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-

Quran 37:48-49:

And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.

β€œ...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.
Sasa ww watu tunaongele sikuu ww unaleta habari za mabkira hapa,hivi uko sawa kweli?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wivu tu kwa sababu Zelenskyy ameamua kufuata kalenda ya dunia nzima ya Gregorian na hakufuata kalenda yenu baada ya kuachana na ile ya Julian ya kina Putin.
Kwa hiyo ni sahihi kiongozi wa kisiasa kuamua masuala ya kiimani yaendeshweje?
Ya kwamba leo inatakiwa Samia awarazimishe wasabato waiamini krisimas ,wanywe pombe na kito moto kama wakatoriki?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Krismas siyo ibada.Krismas ni maadhimisho.Ibada katika ukristo ni kila siku kila saa.Alafu fahamu tofauti ya Julian Calender na Gregorian Calender.Moja inafidia siku zilizopoyea kutokana na miscalculation ya mzunguko wa dunia kuizunguka jua.Nchi zote ziliopt Gregorian cakender kasoro chache ikiwemo Urusi.Hili linahitaji taaluma ikae vizuri kidogo
Kumbe mikesha ya sikuu na ibada siku ya sikuu huwa sio ibada?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom