Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
hyo mbona ipo kitambo sana.Natamani dark mode katika JamiiForums web.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hyo mbona ipo kitambo sana.Natamani dark mode katika JamiiForums web.
Kwenye web mkuu? Simaanishi kwenye apphyo mbona ipo kitambo sana.
oh hapo sawa.Kwenge web mkuu? Simaanishi kwenye app
Jif ipo kitambo Sana niliwahi kutumiaNatamani dark mode katika JamiiForums web.
Subili mpaka macho yakizingua utaitafuta kwa jasho.Sijawai kupenda kutumia dark mode popote
JF web? Hebu nielekeze mkuu
Ivi wameacha kupiga Ban kwa hawa jamaa?
jinsi ya kufanya setting hii naenda wapi maana nimetafuta sijaona kwenye app ya instagramHii hapa ila mpka uapdateView attachment 1377741
Sijawai kupenda kutumia dark mode popote
Angalia hizi screenshot fuata mtililiko moaka restart jf bonyeza hapo ikifunguka tu kitu tayari.JF web? Hebu nielekeze mkuu
Asante kwa faida ya wengine lakini mimi nimetaka kwa "web" sio "app" kwasababu mimi natumia zaidi web kuliko app.Angalia hizi screenshot fuata mtililiko moaka restart jf bonyeza hapo ikifunguka tu kitu tayari.
Samahani kwa kutumia njia ndeeeeefu Sana.View attachment 1378023View attachment 1378024View attachment 1378025View attachment 1378026View attachment 1378027
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaa Kumbe ndio sababu,
Wakikujibu uniitejinsi ya kufanya setting hii naenda wapi maana nimetafuta sijaona kwenye app ya instagram
Kwa web sijui maana situmii ila nadhani itakuwepoAsante kwa faida ya wengine lakini mimi nimetaka kwa "web" sio "app" kwasababu mimi natumia zaidi web kuliko app.
Web ni hii hii hapa. www.jamiiforums.com
Sijawai kupenda kutumia dark mode popote
Asante kwa faida ya wengine lakini mimi nimetaka kwa "web" sio "app" kwasababu mimi natumia zaidi web kuliko app.
Web ni hii hii hapa. www.jamiiforums.com
Hapana mkuu. Haipo hivyo. Dark mode inakuwa ni kwenye app tu ya chrome (browser) lakini ukiingia site yoyote utakutaka na ambayo hiyo site wahusika wameweka default.Sasa kwa web siitategemea na browser unayotumia kama tayari ipo kwenye mfumo wa dark mode? Tumi Brave browser au Google chrome ili uweze kupata dark mode. Na hii unabadilisha browser yenyewe kwanza kutoka light to dark mode
Sent from SM-G950F using Jamii Forums mobile app
Sio lazima kila unachopenda wewe kila mtu lazima akipende na ndio maana kuna option za kuweka au kutoweka.Hujui Dark mode inasaidia simu kukaa na chaji muda mrefu? Yaani nisawa na watoto wa kiswahili kuchelewa kuoa kisa wanawake wa sasa wana matatizo kumbe yeye anajitegea bomu[emoji23][emoji23]. Miaka 40 hujapata hata mtoto wakuja kukusaidia katika uzee wako[emoji23][emoji23]
Sent from SM-G950F using Jamii Forums mobile app