Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Ninamuombea kila siku, asubuhi na Usiku, akifunga naacha kumuombea!!Ndio maana jiwe anataka kufungia mitandao ya jamii
Kwa upande wa mchele hilo lilitegemewa kutokana na Ukame wa mwaka jana sehemu kubwa ya nchiMchele ni anasa Dar. Kilo ya mchele ule mbaya kabisa ni shs 3000
ushamba ule ule kama sukari wakati ule....Siandiki kwa Ushabiki Bali kwa uchungu! Mafuta ya kupikia yameshakua dili. Waliyonayo wameyafungia, naomba serikali ya CCM isiwakamate lakini iwabembeleze wayauze. Wanaouza wanauza kwa bei ya juu. Source, Dukani kwa Mangi.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] watu watakula stiglers gorge[emoji1] [emoji1] [emoji1] in jiwe voiceKwa upande wa mchele hilo lilitegemewa kutokana na Ukame wa mwaka jana sehemu kubwa ya nchi
Mwaka huu utashuka sana Hali ni nzuri
Tunasubiri jua tu uanikwe
Kila kitu We jambazi unaingiza siasaHizi ni taarifa nzuri kwa Ufipa...
Hizi ni taarifa nzuri kwa Ufipa...