Tetesi: Hatimae Yametimia, Hakuna Mafuta ya kupikia

Tetesi: Hatimae Yametimia, Hakuna Mafuta ya kupikia

Hamna jinsi huo ndo ukweli halisi hali huku mtaani ni mgumu sana wanaoumia siyo sisi wafanya biashara ni wananchi wa hali ya chini, huu ndo msimu wa kuvuna
Hao si ndo wapiga kura acha waisome haswaaa ili akili ikae sawa maana wakiambia ccm ni mdudu hatari kwa maisha yako hawaelewi.
 
Sema wengi hatuja elewa. By my speculation, hawa jamaa wanaweka hivyo vizuizi ili makapuni yenye maslahi nao waanze kuuza hayo mafuta.
Lakini tukumbke jamani huyu Jiwe si ndo alisema akiwa Raisi watanzania tutalimia meno.
 
Sidhani kama mna taarifa kamili maana mafuta yamekwamia bandarini kutokana na mkanganyiko wa kodi..
Umemuelewa lakini kabla hujamjibu? Anachosema ni kwamba, huo upandishaji wa kodi utaneemesha viwanda vya ndani na kukuza uzalishaji na ajira za ndani.
 
Mngekuwa na maisha magumu mngenunua bundle?
Bila Freebasics nisingeona coment yako.Tatizo ni ukurupukaji wa serikali kimaamuzi ili kupata sifa kwa wananchi pasipo kutazama faida au hasara kwa siku za baadae. Tuache longolongo za kusifu serikali bila kutafakari kwa kina
 
si ndiyo kuharakisha kwenyewe. Tamko linatolewa na kuanza kazi hapohapo, lazima lilite usumbufu. Waagiza mafuta hawajapewa mda.
Hizo pesa za kuagiza mafuta nje wazitumie kujenga viwanda nchini, wasitutanie kabisa!
 
Sisi maindustrialist wa lakezone,nikuchekelea tu,
wiki ijayo tukianza kukamua pamba tutapiga hela ya hatari,

ooh lala lala,we are in the money....
 
Sisi maindustrialist wa lakezone,nikuchekelea tu,
wiki ijayo tukianza kukamua pamba tutapiga hela ya hatari,

ooh lala lala,we are in the money....
 
Sisi maindustrialist wa lakezone,nikuchekelea tu,
wiki ijayo tukianza kukamua pamba tutapiga hela ya hatari,

ooh lala lala,we are in the money....
 
Ishu sio kuadimika ttzo kodi kubwa marambili ya kununulia wahindi wamefunga viwanda wanahamisha mitambo Kenya, Zambia na Uganda wamegoma kuisoma no sababu wana exposure.
Hao watakuwa vichaa, bidhaa kutoka nje inapopigwa kodi kubwa hiyo ni fursa kwa wewe mzalishaji wa ndani kuonheza uzalishaji na kujiimarisha zaidi katika soko!
 
Mchele ni anasa Dar. Kilo ya mchele ule mbaya kabisa ni shs 3000
Wanaume wa Dar mnalilia mchele sisi wa mikoani tunapiga nguna tu
IMG_20180213_132031.jpg
 
Bila Freebasics nisingeona coment yako.Tatizo ni ukurupukaji wa serikali kimaamuzi ili kupata sifa kwa wananchi pasipo kutazama faida au hasara kwa siku za baadae. Tuache longolongo za kusifu serikali bila kutafakari kwa kina
Acha uongo, free basics huwezi kupost/comment chochote!
 
Hao watakuwa vichaa, bidhaa kutoka nje inapopigwa kodi kubwa hiyo ni fursa kwa wewe mzalishaji wa ndani kuonheza uzalishaji na kujiimarisha zaidi katika soko!
Fursa kama tungewawezesha wakulima wetu wa ngano, mafuta nk ili tulishe viwanda vyetu kama walivofanya wakoloni waliinua Kilimo ili kulisha viwanda walivoanzisha vikachochea ajira tele.
 
Back
Top Bottom