simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Ya Lissu hayo hayafai yanambukiza uchochezi!Hata ya Singida?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya Lissu hayo hayafai yanambukiza uchochezi!Hata ya Singida?
Mkuu uk serious maana unaongelea milion 30 kwa hilo hitaji lakounayapata wapi kwa bei hiyo?,
nahitaji dumu 500.
Bado nyingine endelea kutaja ahahahhaKuleni bombadia
Hata walio neutral wanaumia sana, hali ikiwa ngumu haibagui uvyama.Hizi ni taarifa nzuri kwa Ufipa...
hiyo mbona ni rahisi sana..1 Sanola lita 5 sasa ni 22,000ths toka 19,000tshsMafuta dumu la lita 20 tunanunua kwa tsh60000
Anasema asiyefanya kazi na asile kwani kuna mtu anakula nyumbani kwake?Mh. Keshasema ila bado mnakaidi..View attachment 763866
Kwa akili kama hizi ndio huwa tofauti ya mzungu na ngozi nyeusi huonekana!!kwani huyo ccm anaenda soko gani?kwenye uchumi mbovu haijarishi wewe ni chama gani!!yani wananchi wanaweza andamana kuwa maisha ni magumu wakatokea nyumbu kuwa nao wanaandamana kuwapinga wale wanaoandamana kuwa maisha ni magumu kuwa wanatumika!!!Hizi ni taarifa nzuri kwa Ufipa...
Acheni kutia chumvi namna hii!Haiwezekani Kahama mchele uuzwe kati ya 1800-2000 halafu Dar uuzwe 3000!Mchele ni anasa Dar. Kilo ya mchele ule mbaya kabisa ni shs 3000
Mkuu umeposti hili bandiko mara tatu. Anyways, wasukuma oyeeSisi maindustrialist wa lakezone,nikuchekelea tu,
wiki ijayo tukianza kukamua pamba tutapiga hela ya hatari,
ooh lala lala,we are in the money....
Mi sijui kama MAISHA hayawi MARAHISI kwa WANYONGE, anawezaje kua KIONGOZI MZURI?
Ile ndogo ya gm 70 ni Tsh 700Hivi tomato paste bei gani?