Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi tena mkubwa? Naona umeniscreenshot!!! Kuna shida kwani?DOGO SITAKI TUBISHANE! SAWA?View attachment 763848
Duh!Ya Lissu hayo hayafai yanambukiza uchochezi!
Yaani mwaka huu tutatumia mafuta ya Kitimoto kwa lazimaSiandiki kwa Ushabiki Bali kwa uchungu! Mafuta ya kupikia yameshakua dili. Waliyonayo wameyafungia, naomba serikali ya CCM isiwakamate lakini iwabembeleze wayauze. Wanaouza wanauza kwa bei ya juu. Source, Dukani kwa Mangi.
Shehe wa dsm atakubali?Yaani mwaka huu tutatumia mafuta ya Kitimoto kwa lazima
Tutumie maweseSiandiki kwa Ushabiki Bali kwa uchungu! Mafuta ya kupikia yameshakua dili. Waliyonayo wameyafungia, naomba serikali ya CCM isiwakamate lakini iwabembeleze wayauze. Wanaouza wanauza kwa bei ya juu. Source, Dukani kwa Mangi.
si tuliambiwa tutaishi kama mashetani, itabidi tu naye aote mapembeShehe wa dsm atakubali?
Lita moja ya Korie kutoka 3000 mpaka 4000, ndio ninavyouza dukani kwangu kwa sasa.
Singida watattajirika, wemnye alizeti zao wauzxe sasa na kukamua waneemeke.
Kweli mkuu wachemshe mindege yaoKuleni bombadia
500@1Nyanya 1/ 300 tanzania ya viwanda
Oisi tuliambiwa tutaishi kama mashetani, itabidi tu naye aote mapembe
HahahahaahYaani mwaka huu tutatumia mafuta ya Kitimoto kwa lazima
CCM ndio maana nawachukia saaaana, nilipoweka uzi wangu kuhusu Mafuta kuadimika, mijitu ikaanza kuniponda, sasa watu Hao Hao ndio leo wanasapoti anachoongea Majaliwa! Pumbafu kabisaa, msiwe mazumariwala hamtafanikiwa.
Nataka kuamia wilaya ya magu vipi maji umeme na hali ya maisha nikimaanisha chakula na gharama za maisha ikiwa pamoja na nyumba za kupanga ni vipi? Je kuna shule binafsi ngapi za watoto wa chekecheaMichele mwingi sana mwaka huu karbuni wilaya ya magu mwanza
Hayo poa tu hayana ColestroHapa ni muda wa mafuta ya transforma kuanza kutumika .wapenzi wa chips zama zenu kuharibu afya zenu