Kaka ushasikia kampuni yake wanatangaza nafas za kaz mkuuuu ndio ujue tribalism plus udiniziiii mkuuu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] yaan nam ndo nafikiria hapa ameupataje maana Kwa umri huo jmn m nilikuwa ndo namaliza chuo ambapo ni umri wengi wanaokuwa wanamaliza au anaemfahamu Bi harusi jmn
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sanaaa mkuuuSio kila ukipangacho kitakua kama kilivyo.....Sawa kiarabu lkn hajapendeza sasa ndo kaenda kutisha zaidi....iga kwa akili.....sio kila kitu kinafaa ku paste.
Alikua mwenyekiti taifa wa wanaccm vyuo vikuu...[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] yaan nam ndo nafikiria hapa ameupataje maana Kwa umri huo jmn m nilikuwa ndo namaliza chuo ambapo ni umri wengi wanaokuwa wanamaliza au anaemfahamu Bi harusi jmn
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mzuri sema bwana harusi mzuri zaidi
Hahahaha hahahahahha hakuna sio mzur banaaa mmm nakaataaa siko kuwa wivuu hapanaa bi halus wa kawaidaaaaa sanaaaNi mzuri sema bwana harusi mzuri zaidi
hahahaha.. mkuu acha izoHiyo make up uso unakua kama kachumbari
Sent from my iPhone6 using JamiiForums mobile app
Mi namjua Zainab.. hiyo make up ndo imefanya umuone mbaya ila na sura nzuriHahahaha hahahahahha hakuna sio mzur banaaa mmm nakaataaa siko kuwa wivuu hapanaa bi halus wa kawaidaaaaa sanaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema unaongea kwakuwa unamfahamu...
Kama unamjua basi itakuwa mnasagana.
Sent using Jamii Forums mobile app
myb uwe na maana nyingine ya ushombe,co tatz mwamba wang tambaza kanyoosha xn goti na mageton alikuwa hakauki#so tunamdere
heheheee mbona naona nyusi 2 mbili au hangover?
so lazma mm niikaze nilkuwa nakuonyesha kwamba namjua na wala sio shombe wala sio kam nilimtia!Nilijua umenyoosha wewe, kumbe mshikaji, basi tuliza kipago ndo kashaolewa.
ww mjinga kwel na unaonekan unabusara,content ya upanga hapo unahic ni km lile jambia wa jamaa wa saudia anayechinja watu?UPANGA MAANA YAKE NINI?
ALAFU PUNGUZA JAZBA ATUGOMBANI TUNA HELIMISHANA.
Sent using Jamii Forums mobile app