mpiga domo
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 852
- 1,507
AY wameachana na mke wake siku nyingi sanaaaWatu walituliza vichwa kuoa Ay,MwanaFa,kina Peter Msechu yaani ndoa zao zilioccur naturally hazikuwa za kiki wala nn na wameoa wife material sio hawa wapenda kick