Hatimaye Anerlisa asaini Hati ya Talaka iliyowasilishwa na Ben Pol Mahakamani

Hatimaye Anerlisa asaini Hati ya Talaka iliyowasilishwa na Ben Pol Mahakamani

kama ulikuwa haujui.huyo amekwenda mahakamani sababu wagawane Mali.
Sio kuachana
Mgawanyo wa mali na matunzo kwa watoto ni lazima mzee.Ila utakuwa na uhuru wako wa kuendelea kula pisi za kwa Mpalange
 
Hivi unajua mahakamani ilivyo?.
Lazma hicho kipengele kitakuwepo.
Na hapo NDIPO BEN POL ANAPOPATAKA.
lazma waulizwe hayo Mambo.
Sisi tunaojua haya Mambo tumeshajua target yake.
Anerlisa alivyokuwa na tako vile unaanza vipi kwenda mahakamani kudai talaka?
Kuna Mali yyte walichuma pamoja Kwa miez kumi walioishi?
 
Hivi unajua mahakamani ilivyo?.
Lazma hicho kipengele kitakuwepo.
Na hapo NDIPO BEN POL ANAPOPATAKA.
lazma waulizwe hayo Mambo.
Sisi tunaojua haya Mambo tumeshajua target yake.
Anerlisa alivyokuwa na tako vile unaanza vipi kwenda mahakamani kudai talaka?
Hakuna Mali yyte ya maana waliyochuma pamoja , Benpol anatapa tapa Tu , katangaza maji ya demu Bureee
 
Mambo ya mahakamani NI magumu.
Lakini Ben pol hyo NDO target yake.MALI ZA YULE DEMU.TUSUBIRI TUONE
Hakuna Mali yyte ya maana waliyochuma pamoja , Benpol anatapa tapa Tu , katangaza maji ya demu Bureee
 
Yule ndio mjinga wa mwisho alipropose kwa demu halafu linalia lenyewe fala kweli. Kutwa kucha kumsifia mke wake watu wanamuangalia tu. Nahisi kuna watu wamemshika sikio wamemwambia kausha watu washapiga sana kwanza unampa promo wajanja watakubebea fasta.
😂 😂 😂
 
Aiseee

Hivi Ben Pol alifunga naye ndoa kabla au baada ya kuslimu?
Baada ya ku slim. Huyo Ben pol angekubali kumchukua ingiwe wakati huo akiwa dubo dubo, asingedhubutu. Lakini mdada amebadilika, ana mauzo kwa Pol, hivi huwa anaziangaliaga hizo foto za zamani zake? 😂 😂 😂 😂
 
Baada ya ku slim. Huyo Ben pol angekubali kumchukua ingiwe wakati huo akiwa dubo dubo, asingedhubutu. Lakini mdada amebadilika, ana mauzo kwa Pol, hivi huwa anaziangaliaga hizo foto za zamani zake? 😂 😂 😂 😂
Sa hv anauzika kila mmoja anatamani kumpiga paipu , kipind yupo tipwa tipwa ilikuwa Noma Wana walikuwa wanakula winga
 
Huku pwani tunasema "mwanamke anaazimwa" hakuna mke wa peke yako, jifunze kuwa na moyo ya kiume ili uweze kudumu kwenye mahusiano.
Huwa najaribu kuikubali na kuielewa hiii ila shida nina kamoyo kadogo kama punje ya Ulezi
 
Baada ya ku slim. Huyo Ben pol angekubali kumchukua ingiwe wakati huo akiwa dubo dubo, asingedhubutu. Lakini mdada amebadilika, ana mauzo kwa Pol, hivi huwa anaziangaliaga hizo foto za zamani zake? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom