Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahah unajua kuna mbabe halafu kuna jibabe pro max! Tofauti yenu ndio ipo hapoKumbe huwa mnatusingizia bure sisi wanawake wa tz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wababe mnawajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah unajua kuna mbabe halafu kuna jibabe pro max! Tofauti yenu ndio ipo hapoKumbe huwa mnatusingizia bure sisi wanawake wa tz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wababe mnawajua
Sina hela kabisa [emoji23]Itabidi unipe namimi maana nakuja kuomba hio!
Hakiyanani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahah unajua kuna mbabe halafu kuna jibabe pro max! Tofauti yenu ndio ipo hapo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mheshimiwa Jobo Ndugu Ayi[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo wanagawana mali? Benpol ashatoka kimaisha..
Wale hawafaiHakiyanani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe kuna wababe zaidi yetu[emoji38]!
Kwani Kim Dawizzy ana maoni gani kuhusu dada zake wakenya?
[emoji38][emoji38][emoji38]Wale hawafai
Hahahahah alikuwa anamwaga moto 😂😂😂[emoji38][emoji38][emoji38]
Kuna mmoja nilimuona kule kwenye battle la wabongo na wakenya nikasema hiii! [emoji119][emoji119]Siyo kwa ule Moto wa matusi.
Mbeya moko hiyo,sipati picha hilo figure unalolimiliki!
Thread ilikuwa inasema World Bank wamesema Kenya wananchi wake wanaishi maisha ya kimasikini Sana.Hahahahah alikuwa anamwaga moto [emoji23][emoji23][emoji23]
Figa kama pipa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mbeya moko hiyo,sipati picha hilo figure unalolimiliki!
Utanipa link nikasome namimi😂😂😂 huyo ni ladiez and gentromenThread ilikuwa inasema World Bank wamesema Kenya wananchi wake wanaishi maisha ya kimasikini Sana.
Aisee dada alifika na Moto wa mitusi kwa watZ, utadhani sisi sasa ndiyo tuliotoa tamko[emoji1787]
Ngoja nikaangalie lile battle liliishaje ..ila kama ile ndiyo sample yao basi nikiri wana hatari[emoji38][emoji38][emoji119]
Kila mmoja katika ndoa ana haki ya kudai talakaYaani huyu ndugu yake NDUGAI ametudhalilishaaa[emoji17][emoji17][emoji17].
Mwanaume unadai vipi talaka?
Kila mmoja katika ndoa ana haki ya kudai talaka
Hamnaga kitu kama hiyo,labda sio green cityFiga kama pipa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Babu kumbe uwa upiti upiti kule jukwaa la wakunya!Utanipa link nikasome namimi😂😂😂 huyo ni ladiez and gentromen
Na kitambi juuHamnaga kitu kama hiyo,labda sio green city
Hadi niutafute.Utanipa link nikasome namimi[emoji23][emoji23][emoji23] huyo ni ladiez and gentromen
Pasipo talaka ya kisheria hapo bado mzee.Ili uwe na uhuru wa kujirushaUkiamua kumuacha MWANAMKE unaacha tu.sio mpaka uende mahakamani kudai talaka.
SASA HAPO UNAACHA AU UNAACHWA?
Pasipo talaka ya kisheria hapo bado mzee.Ili uwe na uhuru wa kujirusha