Hatimaye Anerlisa asaini Hati ya Talaka iliyowasilishwa na Ben Pol Mahakamani

Hatimaye Anerlisa asaini Hati ya Talaka iliyowasilishwa na Ben Pol Mahakamani

Yule ndio mjinga wa mwisho alipropose kwa demu halafu linalia lenyewe fala kweli. Kutwa kucha kumsifia mke wake watu wanamuangalia tu. Nahisi kuna watu wamemshika sikio wamemwambia kausha watu washapiga sana kwanza unampa promo wajanja watakubebea fasta.
Kilichomkuta huyu ndezi ndio kimemkuta Nikki wa Pili naona sahizi kaufyata! Watu wameburuza sana steki ya mama zuri
 
Huyo ana target yake.
ipo siku utasikia kaenda TENA mahakamani kudai kugawana Mali .
Kwahio ile benz S class anairudisha kwa mkewe au ndio walichuma wote 🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣
 
Huyo mkenya hamuwezi.maana ana hela na anaweza kuweka mawakili wazuri .
Na hizi hela ndio chanzo cha mahusiano kuyumba 😂😂😂!!! Kum control mwanamke wa kikenya mwenye hela zake uwii inataka moyo wa chuma! Maana yale majitu ni mababe by default!

Unaambiwa okay nishatembea nae so what, beat the hell wacha kunipea stress!!
 
Halafu usikute wanatafuta tu kiki ya huo wimbo wake! Ndoa za Kikatoliki siyo za mchezo mchezo! Hazihitaji kabisa majaribio.

Ukiingia umeingia. Hakuna kutoka. Ni kifo pekee ndicho huwatenganisha wanandoa.
Acha ujinga,mtu akisha silimu hakuna ndoa hapo na kifo hamna.Sasa wanatoka kawarudishe!
 
Back
Top Bottom