Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Ulichoongea ni tafsiri ya kilichopo kichwani mwangu dhidi ya wagogo 😂😂😂Mimi siyo mbaguzi.
Ila kiukweli sijawahi kuona mgogo mwenye akili ya maana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulichoongea ni tafsiri ya kilichopo kichwani mwangu dhidi ya wagogo 😂😂😂Mimi siyo mbaguzi.
Ila kiukweli sijawahi kuona mgogo mwenye akili ya maana.
Demu kapungua kwa kasi ya kimbunga Jobo mpaka kufikia Dodoma kwa mgogo Ben Pizzey😂😂😂 akatwaliwa
Mheshimiwa Jobo Ndugu Ayi😂😂😂Mmmh hata muheshimiwa jobo?
Hawa watu kweli wanafanana😂😂😂 nafikiri ule wasifu wa wasukuma unawafit zaidi hawa jamaaHakuna kitu pale
Kilichomkuta huyu ndezi ndio kimemkuta Nikki wa Pili naona sahizi kaufyata! Watu wameburuza sana steki ya mama zuriYule ndio mjinga wa mwisho alipropose kwa demu halafu linalia lenyewe fala kweli. Kutwa kucha kumsifia mke wake watu wanamuangalia tu. Nahisi kuna watu wamemshika sikio wamemwambia kausha watu washapiga sana kwanza unampa promo wajanja watakubebea fasta.
Kwahio ile benz S class anairudisha kwa mkewe au ndio walichuma wote 🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣Huyo ana target yake.
ipo siku utasikia kaenda TENA mahakamani kudai kugawana Mali .
Na hizi hela ndio chanzo cha mahusiano kuyumba 😂😂😂!!! Kum control mwanamke wa kikenya mwenye hela zake uwii inataka moyo wa chuma! Maana yale majitu ni mababe by default!Huyo mkenya hamuwezi.maana ana hela na anaweza kuweka mawakili wazuri .
Hao mademu wa kikenya inaonekana wana madharau kiasili! Hata clip clip zao nazoonaga nasemaga hiiii!!!Ni ngumu sana mbongo kuishi na mwanamke wa Kikenya, sisi tumezoea kuwa wake zetu wanatusikiliza lakini Kenya hiyo kitu haipo
We mgogo bana Anna Jobo SubwooferMimi siyo mgogo wala mnyaki.
Product yake si mumeiona lakini Le Mubebez 😂😂😂 alifanya vitimbi sana humu sijui yuko wapi sikuhiziHahaha hata mzee malechela? 😀😀😀
Job, Lusinde, Mkamia etc
Ndungai[emoji3][emoji3][emoji3]Mimi siyo mbaguzi.
Ila kiukweli sijawahi kuona mgogo mwenye akili ya maana.
Anavyokomalia mazoezi hawezi tena rudi kwenye huo mwili....
Hapana[emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe we ni Tonya Time baebe
Acha ujinga,mtu akisha silimu hakuna ndoa hapo na kifo hamna.Sasa wanatoka kawarudishe!Halafu usikute wanatafuta tu kiki ya huo wimbo wake! Ndoa za Kikatoliki siyo za mchezo mchezo! Hazihitaji kabisa majaribio.
Ukiingia umeingia. Hakuna kutoka. Ni kifo pekee ndicho huwatenganisha wanandoa.
Yesu wangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We mgogo bana Anna Jobo Subwoofer
Hahahahah si kama akina MC PilipiliYesu wangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu wagogo unawajua vizuri wewe?[emoji1787]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
We sema kweli bana?😃Hapana[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi wa kule kwenu mkeo.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app