Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Mc pili pili nae ni mgogo?Yule ndio mjinga wa mwisho alipropose kwa demu halafu linalia lenyewe fala kweli. Kutwa kucha kumsifia mke wake watu wanamuangalia tu. Nahisi kuna watu wamemshika sikio wamemwambia kausha watu washapiga sana kwanza unampa promo wajanja watakubebea fasta.
Kama namuona Ndugai vile... [emoji23][emoji23][emoji23]Mimi siyo mbaguzi.
Ila kiukweli sijawahi kuona mgogo mwenye akili ya maana.
Really? 🤣🤣Anapitia nini mshamba huyo.
Anataka wagawane Mali Tu.
hahaaaa acha bwana kumbeee , basi sawaHuku pwani tunasema "mwanamke anaazimwa" hakuna mke wa peke yako, jifunze kuwa na moyo ya kiume ili uweze kudumu kwenye mahusiano.
Really? [emoji1787][emoji1787]
Serious kabisa??
Huyo ndo kabisaMkuu hata Mc Pilipili?
Huyu ni mtu mmoja?
Kwamba hatuna akili siyo?[emoji1787]Nitaombaje radhi kwa kusema ukweli[emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23]Anapitia nini mshamba huyo.
Anataka wagawane Mali Tu.
Ila watu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Huyo ndo kabisa
Kabisa.
Sasa MTU anafunga ndoa ya kikristo alafu anakwenda kubadilisha dini na kuwa muislam.baada ya kubadilisha dini hata msikitini kwenyewe sijui kama anaenda.
Huyo ana mipango yake ya kumtapeli huyo dada Mali zake
Tena wa Bahi-Dodoma.Mc pili pili nae ni mgogo?
Kuna watu walimsifia Kweli alipobadili dini,sisi tulisema huyo amechanganyikiwa,wakatushambulia kweli humu ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Dah ben pol alienjoy mbususu ya huyu mrimbwendeHawa wadada wanaoshobokea bongo fleva hutiwa sana kwa kweli.....
leo kampenda huyu kesho atampenda yule....
Ben pol arudi kwa mama mtoto wake sasa
Yule dada anaonekana hana mambo mengi kabisa
Ndio huyo huyo 💯💯💯Huyu ni mtu mmoja?
Hee[emoji134]Ndio huyo huyo [emoji817][emoji817][emoji817]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo mkenya hamuwezi.maana ana hela na anaweza kuweka mawakili wazuri .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo ana target yake.
ipo siku utasikia kaenda TENA mahakamani kudai kugawana Mali .