Hatimaye Anerlisa asaini Hati ya Talaka iliyowasilishwa na Ben Pol Mahakamani

Hizi sheria za TZ bwana mpaka mahakamani? hizi biashara zinatakiwa kuishia kwa wakili tu. hakuna haja ya ndoa za kupotezeana muda namna hii.
Mkikubaliana mnaweza ishia kwa wakili tu
Lakini lazima makubaliano yenu hayo,yafike
Mahakamani na inakuwa registered na mahakama

Ova
 
Bora muachane tu msilazimishe mambo

Ova
 
Ben pol arudi kwa mama mtoto wake sasa

Yule dada anaonekana hana mambo mengi kabisa
Watu walituliza vichwa kuoa Ay,MwanaFa,kina Peter Msechu yaani ndoa zao zilioccur naturally hazikuwa za kiki wala nn na wameoa wife material sio hawa wapenda kick
 
Kwa mtizamo wangu nilijua tu haiwezi kudumu kwanza mwanamke alimzidi mno kipato Bernard Paulo,Anerlisa nyota yake haikuwa iking'arisha ile ya Bernard,badala yake bernadi akageuka mtangaza Maji ya Anerlisa for free.. Hata kimuziki aliporomoka sana...hapa ndipo Ugenious wa Diamond ulipo kazi ni kazi mapenzi ni mapenzi ungekuta ni chibu angekwambia kabisa Mimi ni Brand,kwahiyo kama unataka nitangaze ongea na management yako...na hakika Bernadi alikuwa halipwi kutangaza hayo Maji,pili kwa nature ya kazi ya anerlisa mizizi yake na kampuni vilikuwa Kenya asingeweza kujishusha kuhamia kwa Mario huku Tz akubali biashara ikufe sasa angemlisha nn Mario? Bernad naye angehamia Kenya ingekuwa kaolewa .....yaan wangebaki tu na mahusiano ya kusuguana ukimuhitaji mwenzako unaenda,MNA time mnaenda Serengeti kula bata likiisha kila MTU na hamsini zake ila mahusiano ya ndoa ilikuwa haiwezekaniki....
 
🀣🀣 Kwamba mtangaza maji bure , si haba labda kapata hata billion moja Kwa mda wote wa mahusiano , si unajua changu chako , chako changu
 
Mkikubaliana mnaweza ishia kwa wakili tu
Lakini lazima makubaliano yenu hayo,yafike
Mahakamani na inakuwa registered na mahakama

Ova
Sheria haisemi hivyo ndio tatizo, hata kama mna makubaliano yaliyosajiliwa, mkienda mahakamani sheria mama ndio itatumika kufanya maamuzi, china walikua na hizo sheria wakazifutilia mbali, kwani waliona zinaleta uwizi na kudumaza uchumi wa nchi, kwani mtu akishakua na pesa predators wanatumia ndoa kuiba.
 
🀣🀣 Kwamba mtangaza maji bure , si haba labda kapata hata billion moja Kwa mda wote wa mahusiano , si unajua changu chako , chwako changu
Mkuu wanawake wa Kenya unawajua au unawaskia? Hakuna kitu kashenzi kametuaibisha
 
Mkuu hata Mc Pilipili?
Huyu nae si ndo alivalisha pete mwanamke badala mwanamke awe surprised akawa yeye mpaka akatoa machozi na magoti alipiga?

Ni watu fulani wa hovyo hovyo sana!
 
Demu mwenyewe wizi mtupu[emoji116][emoji116]

View attachment 1766962
Duh amejitahidi sana. Kupungua kwa kiwango hicho si kazi ndogo aisee. Huyu mwanamke anaonekana ni mtu wa malengo.

Kama ameweza kupambana na uzito wa mwili hadi kuwa na kimwili simple hivyo, it means huyu anaweza kupambana na malengo ya kimaisha na kuweza kutoboa bila shida yoyote....
 
Vitonga vyingine vina miba.
We ku.ma hahahahahahπŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nmecheka kingese! Ila kama Ommy alimtia Anerlisa atakuwa alizingua sana yani!

Tabia za kisenge kuingilia mahusiano ya watu for some strange reasons, it hurts even more kwa demu ambaye ulimtangaza dunia nzima kisha akuletee ngebe sababu anatiwa na mtu ambaye wamekutania Instagram tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…