Hatimaye Aunty Ezekiel na Kusah wamtoa mtoto wao nje kwa mara ya kwanza

Hatimaye Aunty Ezekiel na Kusah wamtoa mtoto wao nje kwa mara ya kwanza

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2015
Posts
1,393
Reaction score
3,237
Jionee hapa



Baada kukanusha kwa muda mrefu kuhusu mahusiano yao ya kimapenzi hatimaye mwigizaji Aunty Ezekiel na mwanamziki Kusah wameweka mambo hadharani kwa kumfanyia mtoto wao arobaini.

Ikumbukwe kwamba kabla ya hapo Kusah alikuwa aki-cohabit na Mwanamziki Ruby huku Aunt Ezekiel akiwa na Mose Iyobo

C667A14D-C271-4BEF-AFC3-EE4A69DE5352.jpeg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuh iwe ngoma draw?
Kabisa Mkuu. Halafu itarahisisha sana mzazi mmojawapo akitaka kwenda kumtembelea mwanaye. Yaani Mfano Aunt na Kusa kwenda kumtembelea mtoto wa Rubby na Iyobo wamkute ndiyo baba mwenye nyumba na hivyo hivyo Iyobo na Rubby kwenda kumsalimia Kuki watamkuta Kusa ndiyo baba mwenye nyumba. Yaani wote 4 wanakutana one spot. Patamu aisee.
 
Back
Top Bottom