Labda bangili la puani[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] kama hereni basi bangili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda bangili la puani[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] kama hereni basi bangili
🤣🤣Yaan hawa wasanii n wachafu wa tabia mno, maskini Ruby na Iyobo sijui wanajisikiaje huko waliko lol.
Inaogopesha mno.
umemaliza kila kitu😊Labda bangili la puani[emoji16][emoji16]
🤣Haangalii dini, anaangalia fursa, na status huweza kubadilika muda wowote kulingana na upepo wa fursa
Imeisha hiyo[emoji28]umemaliza kila kitu[emoji4]
Ustaa mavi wa bongo[emoji57]HV aunt n muislam??au Kuna wakristu siku hizi wanafanya arobaini!!?
,huu umaarufu unasumbua watu kwa kweli[emoji849][emoji849]
Hiyo kusah ni dogo Sana kwangu anamla jimama hilo wakati linaanza igiza nilikuwa sekondari[emoji1]Bongo mtu akishaitwa msanii,tegemea tu siku moja atafanya jambo la aibu
Bibi kizeee ft kijana mdogo= ???
Aunt wa long tangu Niko olevel mpaka sasa ku date na qusa na Mimi nimemaliza degree mbili atakuwa anakaribia hamsiniHiyo kusah ni dogo Sana kwangu anamla jimama hilo wakati linaanza igiza nilikuwa sekondari[emoji1]
Kaamua kuibeba pua mzigoLabda bangili la puani[emoji16][emoji16]
Ni kibibi hichoAunt wa long tangu Niko olevel mpaka sasa ku date na qusa na Mimi nimemaliza degree mbili atakuwa anakaribia hamsini
Kipini cha kihindi hicho, aina ya urembo wa Kihindi hasa kwa mabibi harusi wa Kihindi, wakati mwingine huunganisha na hereni kubwa ya sikioni ili ikae vyema!Naomba kutolewa ushamba,hiyo aliyovaa anti puani ni nini? mbona kama bangili sijui hereni
Urembo mwingine ni hatari kwa afya[emoji23][emoji23]Kaamua kuibeba pua mzigo
Sijui anapumuaje [emoji15]
Akiivaa kwa siku nzima ile carbon dioxide anayoitoa iweza change the color of that thing
mkuu hicho kipini ndani ya pua hakimuumizi ?Kipini cha kihindi hicho, aina ya urembo wa Kihindi hasa kwa mabibi harusi wa Kihindi, wakati mwingine huunganisha na hereni kubwa ya sikioni ili ikae vyema!
Ile sauti ya Iyobo haiendani na sura yake.Aiseeeee yaani IYOBO na Miuno yote ile Katoswa?
Wanakuwa wametoboa pua, so kinapita pale palipotobolewa na kutokea kwa ndani! Hakikwaruzi wala kuchoma popotemkuu hicho kipini ndani ya pua hakimuumizi ?
🤣🤣Aunt wa long tangu Niko olevel mpaka sasa ku date na qusa na Mimi nimemaliza degree mbili atakuwa anakaribia hamsini
Hakutumia wakati wake vizuri sasa anavuliwa chupi na watoto anaoweza kuwazaa, mastar wetu hawana akili mbona ma actress wa naija wameolewa na wanaume wenye heshima zaoNi kibibi hicho
Ni wa mda mrefu aisee na alikuwa mkubwa kipindi anaigiza[emoji1787][emoji1787]