King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Ile sauti ya Iyobo haiendani na sura yake.
Sura ya KIJAMBAZI sauti kama yule mwanamuziki wa kifaransa mwenye DEMU lenye WOWOWO KUBWA NA MIHIPS.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile sauti ya Iyobo haiendani na sura yake.
🤣Ni kibibi hicho
asante sana kwa hii elimu,sikuwa naelewa kituWanakuwa wametoboa pua, so kinapita pale palipotobolewa na kutokea kwa ndani! Hakikwaruzi wala kuchoma popote
Swadakta....Ni wa mda mrefu aisee na alikuwa mkubwa kipindi anaigiza
Mwanamke akivaa Ivo, hata akiwa bikra haitasimama.Puani na mdomoni kafunga dudugani huyo mwanamke?
Basi tu mastar wetu vichwa panzi na aunt kazaa na huyo qusa eti Ili apate mtoto mzuriSwadakta....
Hawataki kudate na same age ama waliowazidi kidogo....
Haka katabia sijui ni ka kukwepa "kuzeeka" ama sijui ni kanini?!![emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamke akivaa Ivo, hata akiwa bikra haitasimama.
🤣🤣🤣Basi tu mastar wetu vichwa panzi na aunt kazaa na huyo qusa eti Ili apate mtoto mzuri
Mtoto akililia wembe apewe. Akijikata atautupa, acha avunjwe mbavu na maajuza!!!Hiyo kusah ni dogo Sana kwangu anamla jimama hilo wakati linaanza igiza nilikuwa sekondari[emoji1]
Mwanamke akivaa Ivo, hata akiwa bikra haitasimama.
Kusah ni mwanamuziki wa nini?Jionee hapa
Baada kukanusha kwa muda mrefu kuhusu mahusiano yao ya kimapenzi hatimaye mwigizaji Aunti Ezekiel na mwanamziki Kusah wameweka mambo hadharani kwa kumfanyia mtoto wao arobaini.
Ikumbukwe kwamba kabla ya hapo Kusah alikuwa aki-cohabit na Mwanamziki Ruby huku Aunt Ezekiel akiwa na Mose Iyobo
View attachment 1673757
Ndio lengo Hilo eti loh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti mtoto mzuri...so Iyobo mbaya kwa kuwa ni mweusi ?!! Ha ha ha kweli usemacho.....yote ni intelligence ndogo tu....
Kama kweli hiyo ndio objective basi ya hovyo kweli kweli.Ndio lengo Hilo eti loh
Wasanii hawajali ndoa mkuu, wao ni kiki tu KWA kwenda mbeleKama kweli hiyo ndio objective basi ya hovyo kweli kweli.
Ndoa bora haipo haipo.
Ndio lengo Hilo eti loh
Sure....Wasanii hawajali ndoa mkuu, wao ni kiki tu KWA kwenda mbele
Dudu gojoPuani na mdomoni kafunga dudugani huyo mwanamke?
Watakung'uta foursomeKabisa Mkuu. Halafu itarahisisha sana mzazi mmojawapo akitaka kwenda kumtembelea mwanaye. Yaani Mfano Aunt na Kusa kwenda kumtembelea mtoto wa Rubby na Iyobo wamkute ndiyo baba mwenye nyumba na hivyo hivyo Iyobo na Rubby kwenda kumsalimia Kuki watamkuta Kusa ndiyo baba mwenye nyumba. Yaani wote 4 wanakutana one spot. Patamu aisee.