DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Kaimba wimbo gani?Rock & Roll
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaimba wimbo gani?Rock & Roll
Sasa anavyopenda kuandika "Yesu wangu akutunze" anatuchanganya naye.. [emoji16]Yes ni muislam
Mmerudi saa ngapi[emoji3][emoji3][emoji3]Ohoo kwa hiyo ishu ni pesa,
tumerudi palepale kwa Yuda aliemkana yesu kisa pesa,
okay
Kabisaaaaaaaaa anatupa shida wajumbe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa anavyopenda kuandika "Yesu wangu akutunze" anatuchanganya naye.. [emoji16]
Njanuary[emoji16]Mmerudi saa ngapi[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah itakua III [emoji289]WarKabisa Mkuu. Halafu itarahisisha sana mzazi mmojawapo akitaka kwenda kumtembelea mwanaye. Yaani Mfano Aunt na Kusa kwenda kumtembelea mtoto wa Rubby na Iyobo wamkute ndiyo baba mwenye nyumba na hivyo hivyo Iyobo na Rubby kwenda kumsalimia Kuki watamkuta Kusa ndiyo baba mwenye nyumba. Yaani wote 4 wanakutana one spot. Patamu aisee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisaaaaaaaaa anatupa shida wajumbe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mbona hukuwepo kwenye shughuri ya mwanao? Au hukuhusika ktk huduma za ulezi wa ujauzito?Huyu mtoto ana baba kama 10 hivi, tupo wengi mababa wake, na tunampenda
Hapana sio kosa.Kwani kuachana kosa ?
Jionee hapa
Baada kukanusha kwa muda mrefu kuhusu mahusiano yao ya kimapenzi hatimaye mwigizaji Aunty Ezekiel na mwanamziki Kusah wameweka mambo hadharani kwa kumfanyia mtoto wao arobaini.
Ikumbukwe kwamba kabla ya hapo Kusah alikuwa aki-cohabit na Mwanamziki Ruby huku Aunt Ezekiel akiwa na Mose Iyobo
View attachment 1673893
May be ni mkiristu , I'm not sure , Ila mtoto wake ni muislam ,Sasa anavyopenda kuandika "Yesu wangu akutunze" anatuchanganya naye.. [emoji16]
Swali zuriSasa mbona hukuwepo kwenye shughuri ya mwanao? Au hukuhusika ktk huduma za ulezi wa ujauzito?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
muuza chips maarufu pale kwa njekaKusah ndio nani.
Hongera yao lakini
U give it bad name , fry away , kelele , etcKaimba wimbo gani?