Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hirizi hiyo mkuuNaomba kutolewa ushamba,hiyo aliyovaa anti puani ni nini? mbona kama bangili sijui hereni
Nasubiri jibu kutoka kwake.Swali zuri
Mommy plz taratibu mmmmmh.Jamaa mwenyewe mbona Mrembo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila aunt ni kiboko, kaanza kuigiza mie hat sijaanza shule, ila leo naelekea kumaliza 1St degree, yeye anazaa na kusah lol.Aunt Ezekiel hanaga soni mnyakusa yule
Kusah ni mwanamuziki wa nini?
Mtia mimba wasanii.Kusah ndio nani.
Hongera yao lakini
Ina maana Huyo dogo kusah kampa kibendi Ruby[emoji15]Mtia mimba wasanii.
Ruby
Aunty Ezekiel
Alishazaa na Ruby kitamboIna maana Huyo dogo kusah kampa kibendi Ruby[emoji15]
Kengele kama lile la Ng'ombe puaniNaomba kutolewa ushamba,hiyo aliyovaa anti puani ni nini? mbona kama bangili sijui hereni
Kama aunt Ezekiel ni binti basi mi ndo kichanga nanyonya sahiziHivi huyu binti yu salama kweli...kila kukicha anaacha matukio tu mara mwanaume huyu mara yule.....wanaume mnampima kweli huyu binti?
Duuuh [emoji15]Alishazaa na Ruby kitambo
Madubwasha ya kihindi ufwala fwala tuPuani na mdomoni kafunga dudugani huyo mwanamke?
Hukatazwi kujiita jina ulitakalo, hata changu linakufaa tu.Kama aunt Ezekiel ni binti basi mi ndo kichanga nanyonya sahizi
Wewe mwenyewe una stress za kufa mtuHakutumia wakati wake vizuri sasa anavuliwa chupi na watoto anaoweza kuwazaa, mastar wetu hawana akili mbona ma actress wa naija wameolewa na wanaume wenye heshima zao