Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Mose Iyobo na Rubby waunganishe yaisheYaan hawa wasanii n wachafu wa tabia mno, maskini Ruby na Iyobo sijui wanajisikiaje huko waliko lol.
Inaogopesha mno.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuh iwe ngoma draw?Mose Iyobo na Rubby waunganishe yaishe
Na wao wanaruhisiwa kurushiana maji ya mchele.Yaan hawa wasanii n wachafu wa tabia mno, maskini Ruby na Iyobo sijui wanajisikiaje huko waliko lol.
Inaogopesha mno.
Eti eeeeeh? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wao wanaruhisiwa kurushiana maji ya mchele.
Kabisa Mkuu. Halafu itarahisisha sana mzazi mmojawapo akitaka kwenda kumtembelea mwanaye. Yaani Mfano Aunt na Kusa kwenda kumtembelea mtoto wa Rubby na Iyobo wamkute ndiyo baba mwenye nyumba na hivyo hivyo Iyobo na Rubby kwenda kumsalimia Kuki watamkuta Kusa ndiyo baba mwenye nyumba. Yaani wote 4 wanakutana one spot. Patamu aisee.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuh iwe ngoma draw?
Naomba kutolewa ushamba,hiyo aliyovaa anti puani ni nini? mbona kama bangili sijui hereni
ππ natamani kujua pia namna limejishikiza puani kwa ndaniNashangaa nimewauliza wadau hawajibu
Mmoja ajibu hilo linaloning'ing'ia puani ni nini hilo?
Labda ni hereni,au mi sioni[emoji848]sijui ni nn[emoji16][emoji16][emoji16]Naomba kutolewa ushamba,hiyo aliyovaa anti puani ni nini? mbona kama bangili sijui hereni
Haangalii dini, anaangalia fursa, na status huweza kubadilika muda wowote kulingana na upepo wa fursaHV aunt n muislam??au Kuna wakristu siku hizi wanafanya arobaini!!?
,huu umaarufu unasumbua watu kwa kweli[emoji849][emoji849]
πππ kama hereni basi bangiliLabda ni hereni,au mi sioni[emoji848]sijui ni nn[emoji16][emoji16][emoji16]
Ohoo kwa hiyo ishu ni pesa,Haangalii dini, anaangalia fursa, na status huweza kubadilika muda wowote kulingana na upepo wa fursa