Hatimaye BREVIS na Altezza zimepotea barabarani

Hatimaye BREVIS na Altezza zimepotea barabarani

V8 mtoto anauzwa karibuni sana mabosi wangu mniungishe
20231020_100503.jpg
20231020_100511.jpg
 
RVR generation ya 1990s nakumbuka mwaka 2002-2004 watu walizinunua kwa fujo sana ila kumbe zilikuwa gari vimeo sana. Zilijifia zikapotea sokoni ghafla mjapan ikabidi atulie kuangalia alifeli wapi. Zina historia mbaya kwa wakongwe wa Magari.
Wanajeshi walizivamia kama wanavyovyamia Rumion kwa sasa.
 
[emoji28][emoji58][emoji52][emoji112][emoji2]
Kakuvurugaje bei mzeeya , ?
Nmetoka jana kulivua hilo jini dah nabak zangu toyota jpo niliyemuuzia kajiona mjanja kunivuruga bei ila kma maisha yke ndo yale nahakika miez 5 hatoboi nayo
 
Ni ushamba,kukaririshana na kuigana kwetu ndio kunafanya baadhi ya gari zishuke thamani,leo huko mbele altezza ina bei kuliko crown ila hapa kwetu altezza ni gari iliyotolewa thamani toka inaingia tu sokoni,so resale ya altezza kwa TZ iko chini sana zaidi ya hizo kina crown na 99% yetu uwa ananunua gari baada ya muda aiuze akifikiria pesa atakayouza hiyo altezza ndio anaamua bora anunue ambazo resale iko vizuri
View attachment 2746342View attachment 2746343
Hiyo CIF COST INAJUMUISHA NA USHURU/KODI YA TRA ?
 
Ni ushamba,kukaririshana na kuigana kwetu ndio kunafanya baadhi ya gari zishuke thamani,leo huko mbele altezza ina bei kuliko crown ila hapa kwetu altezza ni gari iliyotolewa thamani toka inaingia tu sokoni,so resale ya altezza kwa TZ iko chini sana zaidi ya hizo kina crown na 99% yetu uwa ananunua gari baada ya muda aiuze akifikiria pesa atakayouza hiyo altezza ndio anaamua bora anunue ambazo resale iko vizuri
View attachment 2746342View attachment 2746343
Tofauti ya PRICE NA TOTAL PRICE ni nini ?
 
Back
Top Bottom