Bounty hunter
JF-Expert Member
- Feb 2, 2021
- 523
- 652
V8 mtoto anauzwa karibuni sana mabosi wangu mniungishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi bado nina push Cresida. Bought 1995Kama ilivyotabiriwa gari tajwa zimepotea kabisa barabaran na Sasa vijana Ni mwendo wa RUMION, SUBARU na CROWN. Kidumu Chama cha Mapinduzi Kwa Neema hii ya fursa Kwa wote. Vijana tupewe nini Tena?
Bei gani?
Subaru ForesterBei gani?
Karibu bossBei gani?
Nina 15m TZS cashKaribu boss
Hapana boss! zipo gari nyingine nzuri kwa bajet hiyo unapata boss kama unataka nikutumie picha nakutumia bossNina 15m TZS cash
Kuna raum new model, spacio, voltz unapata kwa bajeti hiyo boss ukizitaka karibuNina 15m TZS cash
Na noah New ShapeNina 15m TZS cash
KwannKABLA ya Christmas, Kuna watu watauza sana gari zao.
Lc 300Mwenezi anatembelea gari gani?
Hivi raum wameshatoa new model?Kuna raum new model, spacio, voltz unapata kwa bajeti hiyo boss ukizitaka karibu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Adrea hiyo "babe" ni typing error au umekusudia??
Wanajeshi walizivamia kama wanavyovyamia Rumion kwa sasa.RVR generation ya 1990s nakumbuka mwaka 2002-2004 watu walizinunua kwa fujo sana ila kumbe zilikuwa gari vimeo sana. Zilijifia zikapotea sokoni ghafla mjapan ikabidi atulie kuangalia alifeli wapi. Zina historia mbaya kwa wakongwe wa Magari.
Nmetoka jana kulivua hilo jini dah nabak zangu toyota jpo niliyemuuzia kajiona mjanja kunivuruga bei ila kma maisha yke ndo yale nahakika miez 5 hatoboi nayo
Hiyo CIF COST INAJUMUISHA NA USHURU/KODI YA TRA ?Ni ushamba,kukaririshana na kuigana kwetu ndio kunafanya baadhi ya gari zishuke thamani,leo huko mbele altezza ina bei kuliko crown ila hapa kwetu altezza ni gari iliyotolewa thamani toka inaingia tu sokoni,so resale ya altezza kwa TZ iko chini sana zaidi ya hizo kina crown na 99% yetu uwa ananunua gari baada ya muda aiuze akifikiria pesa atakayouza hiyo altezza ndio anaamua bora anunue ambazo resale iko vizuri
View attachment 2746342View attachment 2746343
Tofauti ya PRICE NA TOTAL PRICE ni nini ?Ni ushamba,kukaririshana na kuigana kwetu ndio kunafanya baadhi ya gari zishuke thamani,leo huko mbele altezza ina bei kuliko crown ila hapa kwetu altezza ni gari iliyotolewa thamani toka inaingia tu sokoni,so resale ya altezza kwa TZ iko chini sana zaidi ya hizo kina crown na 99% yetu uwa ananunua gari baada ya muda aiuze akifikiria pesa atakayouza hiyo altezza ndio anaamua bora anunue ambazo resale iko vizuri
View attachment 2746342View attachment 2746343