Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,903
- 1,360
Yataibuka mengi kabla ya uchaguzi mkuu. Kama Tendwa atakifuta chama hiki au kukataa kukisajili mapema ili kisishiriki uchaguzi mkuu, nitaamini kuwa kuna vigogo wa CCM ndani kwani Tendwa anafanya kazi ya CCM.
Hao wanaotajwa kuwa wanatoka CCM si wajitokeze wazi wazi? wanaogopa nini? Kwani siasa mpaka uwe CCM?
Hao wanaotajwa kuwa wanatoka CCM si wajitokeze wazi wazi? wanaogopa nini? Kwani siasa mpaka uwe CCM?