Hapa mleta mada unatumia nguvu zote kufanya spinning.
DP World kwanakukera nini?
Bandari ya Berbera Djibouti ambayo umsiongelea mzigo wake 90% au zaidi ni wa Ethiopia.
Halafu hukuelezea kuwa Djibouti ilikuwa ina tatizo na DP World Djibouti ambayo inamilikiwa na wote, Serikali ya Djibouti, Serikali ya Ethiopia na Serikali ya Dubai imewekeza kupitia DP World Djibouti.
Kwanini unakuwa spin doctor?
Nakukumbukamijadala ya historia ya
Mohamed Said, ulikuwa unakuja na ID tatu tatu unaongea mwenyewe unajijibu mwenyewe lakini ukagaragazwa vibaya sana na
Mohamed Said, mpaka ukaahidi kutunga kitabu kuja kupinga kitabu cha #Mohamed Said. Mpaka leo tunakungoja upo kimya.
Sasa umeibuka na uongo wa kuwatungia DP World kuhusu Djibouti.
. Tuambie DP World ipo Djibouti haipo? Wana ubia na serikali ya Djibouti na Serikali ya Ethiopia hawana?
Nani ambae ameamriwa na mahakama za Kimataifa awalipe wabia wenzake?
Halafu jitambulishe basi tuwaambie DP World ukawagaragaze mahakamani kwa defamation.
Sisi tunakufahsmu mtu mfupi.
Kama kweli unayiyaandika ni kweli nanhujafanyanspinning na ni kidume unaejiamini si ujitambulishe Kama walivyofanya wengine?
Nnakuahidi kwa "defamation" tutegemee yaliyomkumba msiba.
Waarabu hawa huwa hawapigwi la kulia wakageuza na la Kushoto. kisasi kwao haki na pesa za kuemdesha kesi Wanazo, hata ukiwa Marekani.
Waarabu wana msemo wao wanasema "cheza hata mbupu zao lakini usijaribu kucheza na jina lao".
Haya kidume endelea kujiachia, yetu macho na masikio.
Nakumbuka tulimuasa msiba hapa hapa JF akatuona wajinga. Sasa nasikia msiba ana msiba mwingine mpyaaa.
Kazi iendelee.