Jemima Jackson
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 748
- 934
Hiki sio chama cha siasa nashangaa tungoja nini kukitoa madarakani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ugumu upo hapo kwamba, unayemtaka atoke kwenye uongozi ndiye mwenye mamlaka ya yeye kutoka kwenye huo uongozo/madaraka. Hapo ndipo penye ugumu na hasa ukizingatia wa-TZ wengi hawana elimu ya siasa.Kwa hiyo bila shaka hata wewe unashangaa kama ninavyoshangaa mimi.
Hayo yote uliyo yaorodhesha ili kuiwezesha CCM kutoka madarakani yataanzia wapi iwapo ni CCM hao hao ndio wanatakiwa wawafanyie hisani waTanzania ili mambo hayo yafanyike?
Jameni, hebu acheni kuifanya CCM, tena hii ya Samia (?), ionekane kama wao ndio wanaotufuga binaadam wote wa nchi hii.
Ninakuelewa unachoeleza mkuu 'denooJ'; ila kama ni "nguvu ya ushawishi", sioni nguvu hiyo akiwa nayo Samia. Tokea hili swala la DPW lianze, nimesikia tu mara moja akilizungumzia akiwa Mwanza, kwa kusema kuwa "Yeye ni mTanzania".inaongozwa na individual mwenye nguvu ya ushawishi anayeamua atupeleke wapi, kama huyu ameamua kutupeleka utumwani kwa wajomba zake, wengine wakamsapoti.
Mimi ninaona tofauti kabisa na wewe; hasa kuhusu hilo la "wa-TZ wengi hawana elimu ya siasa."Mkuu ugumu upo hapo kwamba, unayemtaka atoke kwenye uongozi ndiye mwenye mamlaka ya yeye kutoka kwenye huo uongozo/madaraka. Hapo ndipo penye ugumu na hasa ukizingatia wa-TZ wengi hawana elimu ya siasa.
Hapana.
Inatia uchungu! Wakati mwingine mtu unaweza tu kubaki umeduwaa kwa yanayotendeka nchini kwani mengi yanashangaza, yanaudhi na kukasirisha.Hapana.
'Heading' ilivyo sasa, ndiyo sahihi kabisa.
"uhuni" tu, wa aina hii kwa minajili ya nini?
Agreed, serious stuff indeed! Nchi imepoteza dira na waliotufikisha huko tunashirikiana nao, tunakula nao na tunalala nao.This is serious stuff.