Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushalishwa tango pori tayari, hahaha endeleeni kutatarika kama mahindi ya bisi, ila utambue kuwa oktoba 28 kura kwa Magufuli.Nasikia jamaa wale wa bendera nyeusi tayari wapo kazini
Endelea kukaririshwa hizo soga za Aunt LiHuko ni chadema 100% hawa majizi na madikteta ccm hawawezi kupata hata kura moja
Nimeelewa wakati umehoji CCM itajifuta vipi Lindi wakati Majaliwa anatokea huko!! Yaani Majaliwa kutokea Lindi kwako ndo unaona hoja ya msingi?!Umeandika ushudu tu, je umeelewa hoja niliyoijibu mimi? Halafu inabidi ufahamu mtu anakosea njia mara moja tu, ukienda ukirudi ushaijua njia, fahamu hii siasa ni hesabu sasa wewe endelea kukaririshwa na Aunt Li utegemee mambo ndo yatakuwa vilevile.
Macho yako yatakuwa na kengeza wewe, na bila shaka nina wasiwasi hata utashi wa akili yako yamkini utakuwa ndo walewale ukoo wa Aunt Li waliopo kule MilembeNimeelewa wakati umehoji Lindi wataacha vp kuipigia kura CCM wakati Majaliwa anatokea Lindi!! Hivi una akili kweli wewe?!!
No wonder umekuwa mpiga makofi kama zuzu manake kama unasahau ulichoandika mwenyewe sasa kadhaa tu zilizopita, then una-fit kuwa mtaji wa Jiwe manake Mtaji mkubwa wa Jiwe ni Jeshi kubwa la Wajinga waliopo nyuma yake!!!
We cho'ko acha matusi, kima wewe!!! Usidhani watu hawajui kutumia lugha za kifedhuli! Hapa chini umeandika nini?! Very stupidMacho yako yatakuwa na kengeza wewe, na bila shaka nina wasiwasi hata utashi wa akili yako yamkini utakuwa ndo walewale ukoo wa Aunt Li waliopo kule Milembe
Yani hoja ya kilofa kabisa, iliyosheheni uongo, unafiki, uzandiki na uchonganishi ndani yake. Nani aliyekudanganya CCM imejifuta Mtwara na Lindi? Hivi Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa anatokea Dsm au Kenya? Tuanzie hapa.
Ubariliwe sana ndugu mzlendoNimeelewa wakati umehoji CCM itajifuta vipi Lindi wakati Majaliwa anatokea huko!! Yaani Majaliwa kutokea Lindi kwako ndo unaona hoja ya msingi?!
No wonder umekuwa mpiga makofi kama zuzu manake kama unasahau ulichoandika mwenyewe sasa kadhaa tu zilizopita, then una-fit kuwa mtaji wa Jiwe manake Mtaji mkubwa wa Jiwe ni Jeshi kubwa la Wajinga waliopo nyuma yake!!!
Haya tulia sasa ushameza kidonge moja, dozi inaendelea taratibu usifanye pupa. Lete hoja yako mezani, unataka kusema kitu gani wewe?We cho'ko acha matusi, kima wewe!!! Usidhani watu hawajui kutumia lugha za kifedhuli! Hapa chini umeandika nini?! Very stupid
Duh! Kumbe kweli utakuwa cho'ko wewe, manake si kwa mipasho hiyo!! Kipi cha maana umeongea zaidi ya mimi kuonesha uzuzu wako wa kusahau ulichoandika mwenyewe?!Haya tulia sasa ushameza kidonge moja, dozi inaendelea taratibu usifanye pupa. Lete hoja yako mezani, unataka kusema kitu gani wewe?
Duh..mmawia...utakuwa unatoka kitayaMkoa ambao unaikubali ccm ni mmoja tu nao ni Dodoma
Hahaha nyie watu wa Kitaya na Kiromba juu na Kiromba chini mnalo Hilo..itabidi mgangamale ...wenzenu wanavuka kwa mitumbwi kwenye huo mto Ruvuma...wavizieni penbezoni mwa mto...Huko nimekimbia jamaa walio toka Mozambique
Wale majamaa siyo wa kuwafanyia majaribio.wanatisha na hawana huruma hata kidogo na kiungo chochote kile cha mwanadamuHahaha nyie watu wa Kitaya na Kiromba juu na Kiromba chini mnalo Hilo..itabidi mgangamale ...wenzenu wanavuka kwa mitumbwi kwenye huo mto Ruvuma...wavizieni penbezoni mwa mto...
utakuja ujue kama ni saccos ama chama kikuuHii saccos ndio ishinde Mtwara na Lindi?. Punguani wakubwa, subirini kunyolewa bila maji.
Wewe kweli kiazi, kama umeshindwa kuelewa nilichoandika utaweza kweli kuelewa hata jinsi ya kupiga kura wewe?Duh! Kumbe kweli utakuwa cho'ko wewe, manake si kwa mipasho hiyo!! Kipi cha maana umeongea zaidi ya mimi kuonesha uzuzu wako wa kusahau ulichoandika mwenyewe?!
Very stupid!!
Yaani kusema CCM itafutika vipi Lindi wakati Majaliwa ni mtu wa Lindi kwako hiyo ndo hoja?! Hivi nikikuuliza hiyo hoja uliyiotoa ni ipi, unaweza kuitaja hapa?!
Hakika Mtaji Mkubwa wa Jiwe ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake!!!
Hapana sio kweli, Mara na Kagera kama uchaguzi utakuwa huru na haki, Magufuli atawaka.Mimi naamini kura milioni tatu za jiji la dar ess salaam zitaenda kwa Lissu milioni mbili,na huku mh Magufuli akiambulia laki nane...gap litaanzia hapo
Kanda ya ziwa mara,kagera,mwanza,simiyu Ni ngoma droo kwa hawa wawili.
Amechanganyikiwa maana tayari mbuzi kesha kula mkekaPole pole hebu punguza mihemko.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app