Bravo Mkuu,
Umeandika kitu ambacho ni mwiba kwa watu wengi, haswa hao jamaa wa Kaskazini.
Umeeleza ukweli wa figisu zinazopigwa kukandamiza Maendeleo katika maeneo husika kwa sababu za kibinafsi.
Nakupongeza kwa kuwa umeweza kuweka hili bandiko lako kiwepesi hata mama ntilie na dereva bodaboda anaweza kulielewa.
Kila mara huwa nawakumbusha jamaa zangu, kuna tofauti kati ya SIASA ZA KIHARAKATI na SIASA ZA KIZALENDO. Siasa za KIHARAKATI ni hatari sana katika Maendeleo ya Taifa Letu.
Kuna jamii/kanda Fulani wanafikiri wao wako entitled na kila kitu bora kuliko Jamii nyingine na Tanzania kwa Ujumla. Time has changed....let's dance with the tune.
Ciao.....