Tetesi: Hatimaye "Chato International Airport" kuzinduliwa rasmi mwezi Aprili

Tetesi: Hatimaye "Chato International Airport" kuzinduliwa rasmi mwezi Aprili

Wanja wa ndege unajengwa sehem inauoonekana inaingizia nchi pato kubwa. Angalia viwanja vya ndege vingi nchini... vipo pale sababu kuna vichocheo vya kibiashara...

Unaenda kujenga uwanja wa ndege chato, sawa, kuna vichocheo gani pale? Haya itasema ni watu..

Kwa jamii iyoishi chato, wenye uwezo wa kupanda ndege ni wachache mno.. wengine watakuwa wanaziangalia tu.
Be wise man... dont be dumb
Je maeneo ya Gongolamboto yana watu wengi zaidi wanaoweza kupanda ndege kuliko Masaki au sehemu zote za Dar? Au ni asilimia ngapi ya wakazi wa Dar wanapanda ndege? Mipango hii ni zaidi ya hilo, kiwanja cha ndege kina "'catchment area yake", ndiyo maana KIA inahudumia mikoa ya kilimanjarao, Arusha , Manyara na Tanga, Mwanza ni Mwanza, Simuyu,Shinyanga na Mara, Songwe ni Mbeya, songwe, Iringa Rukwa nk, Chato ni Geita, Kagera,sehemu ya Shinyanga nk ambako kuna migodi ya dhahabu ya GGM, Bulyanhulu, Pangea, Wilaya za Kahama, Nzega, Igunga nk. Kuna Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo, Ziwa Victoria, viwanda vya mazao ya samaki, pia utahudumia majirani wa Rwanda ,Burundi Uganda hasa wanatumia bandaria ya Nchi kavu ya Isaka, watumishi wa TPA na suala zima la clearance nk. Zipo sababu nyingi za kiuchumi , kijamii na kiusalama.
 
Umeongea point...

Tatizo sasa hivi hakuna mashaurianao ni amri, maagizo na utekelezaji hata kama hakuna tija...


Cc: mahondaw
 
Mkuu barafu you are speaking in tongues(aviation jargon) ila nimekuelewa as far as economics is concerned, siku hizi sisikii bwana yule akiomba aombewe, kashaonja vitamu...

Give them an inch they take a yard, give them a yard they take a mile... Tukiongea sana watamrudisha mkuu Melo Keko!!
Alikuwa anaomba ili apate vitamu, sasa maombi zaidi ya nini? Anachofanya kitakuwa ni shukurani peke yake, kwani sijawahi sikia mtu anaomba msaana kutoka kwa wengine kwenye kushukuru bali kwenye kuomba tu.
 
Hongera JPM kweli umeweza
Wenzako wote waliyotangulia walishindwa kujenga makwao!

Ova
 
Bravo Mkuu,
Umeandika kitu ambacho ni mwiba kwa watu wengi, haswa hao jamaa wa Kaskazini.
Umeeleza ukweli wa figisu zinazopigwa kukandamiza Maendeleo katika maeneo husika kwa sababu za kibinafsi.
Nakupongeza kwa kuwa umeweza kuweka hili bandiko lako kiwepesi hata mama ntilie na dereva bodaboda anaweza kulielewa.

Kila mara huwa nawakumbusha jamaa zangu, kuna tofauti kati ya SIASA ZA KIHARAKATI na SIASA ZA KIZALENDO. Siasa za KIHARAKATI ni hatari sana katika Maendeleo ya Taifa Letu.
Kuna jamii/kanda Fulani wanafikiri wao wako entitled na kila kitu bora kuliko Jamii nyingine na Tanzania kwa Ujumla. Time has changed....let's dance with the tune.
Ciao.....

Indeed times have changed. Lets dance with tunes!
 
Ili usiote nyasi ukaharibika ni vyema kwa sasa wameruhusiwa wakulima na wavuvi wautumie kuanikia mazao yao hadi itakapofika wakati wa kutumika.
 
Air Zaire

images (11).jpeg
 
Back
Top Bottom