Tetesi: Hatimaye "Chato International Airport" kuzinduliwa rasmi mwezi Aprili

Mwache wivu wa kijinga. Yeah miji ya kwenu ikijengwa mnaona sawa ya wenzenu mnapata nongwa!!!
 
Mkuu barafu shikamoooo
Ninapenda uandikaji wako...hutukani mtu wala kukashifu,lkn kwa namna ulivyojibiidisha kuzisifia Pangaboi na kuwa kama msemaji wa ATCL/Serikali humu JF,ukosoaji wako unapata uhalali...japo kuna makada wanakutupia matusi na kusahau kuwa uliwabeba sana humu enzi za mijadala ya pangaboi

Heri ya mwaka mpya mkuu,ila urudi tena humu,bado tunahitaji michango yako mkuu
 
Mwache wivu wa kijinga. Yeah miji ya kwenu ikijengwa mnaona sawa ya wenzenu mnapata nongwa!!!
mbona unaweka mpira kwapani mapema namna hiyo? jaribu kujibu hoja za mtoa mada basi angalau hata kidogo
 
Tusianze kulaumu tu bila ya kuwa na facts za kutu-back up, cha kujiuliza kwanza ,je, Serikali au tuseme uwamu iliyopita waliwahi kuwa na mpango wa kujenga kiwanja cha ndege CHATO? pili ,je, uwanja huo umejengwa strategically kwa masuala ya ulinzi wa nchi - haya ndiyo maswali ya kujihoji kwanza kabla ya kuanza kumlaumu JPJM bila sababu za msingi.
 
Majungu tu, kwani chato wanakaa nyani? Kwani lazima ndege zote wapande watalii? Hacheni ubwe.ge kwani chato ipo sudan?
Watawala walichowaweza watanzania ni kuwaharibia elimu...ni wewe ni moja ya matunda ya elimu yetu mbovu
 
Hacha uchochezi wewe ushawajengea majirani zako nyumba??
 
Mwanza sio center ya eac states bhana...that should be kagera....which boarders all said states..labda kama kigezo chako ni kuwa kalibu na serengeti
 
mkuu haujafikiri kwa usahihi.
 

Mkuu nadhani tatizo like hapo watanzania wamekuwa walalamishi Kama watoto wadogo. Hawajajisumbua hata kuangalia budget ya Mwaka wa fedha Kama kipaumbele hicho kilikuwepo, pia kuangalia Kama 5years strategic plan ya nchi ilitaja mradi huo.Kulaumu bila data ni makosa. Labda tufanye home work ya kupitia budget ya mwaka wa fedha kwanza halafu tune na majibu
 
Hacha uchochezi wewe ushawajengea majirani zako nyumba??
Mkuu,
Rais ana jukumu la kuhakikisha si majirani zake tu bali taifa zima linapata makazi bora, ni jukumu lake kutoa umasikini, Maradhi na Ujinga TANZANIA.

Sasa kwa Kujenga huo uwanja hivyo vitu vitatu Umasikini, Maradhi na Ujinga vitapungua hapo Chato.

Lakini pia angewauliza hao majirani zake sina hakika kama watasema awajengee uwanja wa ndege.
 
Watawala wetu karibu wote ni wabinafsi na wakabila,Kiongozi ambaye hakupendelea kwao alikuwa mmoja tu JKN wengine wote waliobaki walipendelea kwao na kupeleka miradi mikubwa huko.

Tumeona Bandari ikitolewa mitaa ya Posta ikapelekwa Bwagamoyo,leo tunaacha kuutengeneza Uwanja wa Mwanza ambao ni VALUE FOR MONEY ,tunaenda kutengeneza Chato sababu ni kwetu.

Tusiwasingizie watendaji,mtendaji hawezi akafanya uamuzi mkubwa hivyo,na kwa Kiongozi mwenye nia njema na uchumi wa Taifa lake angelipigia kelele sana,kwamba usiwekwe huko.

Na ameanza mapema sababu anajua akichelewa yatamfika ya JK ambapo Bandari iliishia kwenye upembuzi yakinifu.
 
Reactions: 911
Chato kuna barabara nzuri mpaka taa za kuongozea magari ambazo moshi hazipo!!!hahaha
 
Wasukuma oyeeeeee,

Kama nawaona,watakavyojikusanya kwa wingi,siku ya uzinduzi,kushangaa hayo mandege lol.
 
nina umri wa miaka 73, nimetokea kwenye familia yenye watoto wengi sana , ila cha kuskitisha katika familia yetu ama ukoo wetu kwa ujumla hakuna hata 1 aliyewah kupanda ndege
Shauri yenu mlimwacha elimu akaenda zake. Wacha wajenge ssie tutapanda kuja chato. Hatutaki ujinga
 

Mkuu,
Si budget tu na Mpango wa miaka Mitano Bali hata kwenye kitabu cha llani ya CCM 2015 to 2020 Hakuna kitu kama hicho Kujenga uwanja wa Ndege Chato.

Kuna viwanja vimetamkwa kwenye ilani wanavitambua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…