Tetesi: Hatimaye "Chato International Airport" kuzinduliwa rasmi mwezi Aprili

Mkuu yule saint akiamua kaamua..anakwenda sana off budget

Ova
 
Chato kwenyewe baiskeli ni nyingi kuliko gari still kuna traffic light.... Sasa unajenga uwanja wakati hakuna umuhimu wowote nani atakwenda bush kule kufanya nn labda, JK katuachia matatizo makubwa sn aise
 
Mbona kuna a national park pale? Ukiwa chato unaweza fika Rubondo Island, with very beautiful scenery
 
Kuna national park kubwa sana pale. Rubondo Island
Chato kwenyewe baiskeli ni nyingi kuliko gari still kuna traffic light.... Sasa unajenga uwanja wakati hakuna umuhimu wowote nani atakwenda bush kule kufanya nn labda, JK katuachia matatizo makubwa sn aise
 
uwanja wa ndege wa kimataifa wa Gbadolite airport Leo hii umebaki magofu matupu kwakuwa haukujengwa kiuchumi ...bali Kiongozi aliamua tu kuujenga kijijini kwake .....na baada ya kuondolewa umebakia magofu ....kwa kuwa hakuna shughuli ya kiuchumi ya kufanya huo uwanja uendelee
 

Attachments

  • Gbadolite airport DURING MOBUTO.jpg
    7.7 KB · Views: 68
  • Gbadolite airport AFTER MOBUTO.jpg
    21.4 KB · Views: 126
Yaani ukisoma mada za humu JF haki ya nani unaweza kupandwa hasira mpaka basi! Itoshe tu kusema sisi ma-Tanzania ni mapumbavvv inawezekana vipi majitu yanatetea ujenzi wa uwanja wa Chato ambao no dhahiri shadri kwamba ni matumizi mabaya ya raslimali fedha? Mkuu Barafu kafafanua vizuri kwamba uwanja wa Chato hautakuwa na manufaa yoyote kiuchumi, labda kama uchumi wenyewe ni kumrahisishia Rais kutua na Ndege yake Mara 4 kwa mwaka! Itoshe tu kusema hapa Rais kaonesha ubinafsi wa hali ya juu, hivi baada ya kipindi chake Ndege gani itaenda Chato jamani? Ni mwananchi gani wa kawaida atapanda Ndege huko Chato? Yale yale ya Gbadolite! Nihitimishe kwa kusema sisi ma-Tanzania ni mang'ombe!
 
Mkuu Barafu baada ya kuleta ile habari ya kwanza ya Uwanja wa NDEGE WA CHATO niliona nifuatilie sababu za Ujenzi wa huo Uwanja na umuhimu wake...

Findings....

Nimeelezwa kuwa, Rais Magufuli amejenga Uwanja huo CHATO ili aweze kuziteka nchi za RWANDA, BURUNDI, na UGANDA, Kwamba, Ndege za kutoka mataifa hayo zitatua CHATO INT. AIRPORT, halafu abiria watapanda Gari zao kutoka CHATO hadi MWANZA ambapo watapanda tena NDEGE kwenda wanapopataka ndani au nje ya nchi, (SIJUI NI AKILI GANI ILIYOTUMIKA HAPA) nimeelezwa kwamba, Rais Magufuli anataka kujenga DARAJA La BUSISI ili kurahisisha usafiri huo wa wageni kuja Mwanza kutoka CHATO INT. AIR.

Nimeelezwa kuwa, Mpango wa Magufuli ni Kuutenganisha mkoa wa GEITA Na CHATO hapo baadae, hivyo anaandaa mazingira ya kushawishi ugawaji wa MIKOA Hiyo, na makao makuu ya mkoa wa CHATO yatakuwa eneo moja linaitwa RUSUNGU hivi kama sijakosea jina, nakubali nirekebishwe maana nimesahau jina lake kwa usahihi.

Nimeelezwa kwamba, Eti CHATO kuna Mbuga ya WANYAMA binafsi ya RAIS Magufuli ila sijawa na uhakika na hili...

Kwa kifupi, hata kama Chato walikuwa na uhitaji wa uwanja wa ndege siyo sasahivi jamani, wewe fikiria, Plan zipo kwenye vitabu miaka mingi juu ya ujenzi wa viwanja kama MWANZA, MUSOMA Nk. lakini hadi sasa hakuna kilichofanyika kwenye viwanja hivyo, ila hiki cha chato ndo kiwe Urgent?
 
Mwanza sio center ya eac states bhana...that should be kagera....which boarders all said states..labda kama kigezo chako ni kuwa kalibu na serengeti
Yaani centre ya EAC uipeleke Kagera (sijui ulitaka kumaanisha Bukoba) utakuwa na akili wewe?
 
Kwahiyo rasilimali fedha sio tatizo hivyo tujenge tu viwanja vya ndege kila mahali au unamaanisha nini?
 
Majungu tu, kwani chato wanakaa nyani? Kwani lazima ndege zote wapande watalii? Hacheni ubwe.ge kwani chato ipo sudan?
watu wa hovyo sana, uwanja wa ndege ni jambo la kawaida sana, hata watu binafsi wanavyo, Kasoli Genery kule bariadi wana uwanja wao wa ndege, geita mgodini wanao sasa kuna tatizo gani chato kuwa na uwanja wa ndege? hata mie nimeshanza kujenga uwanja wa kwangu japo sio wa ndege ni wa kuchezea mpira.
 
Kwa nini kila kitu mnapenda kuitumia kaskazini ili muweze kuhalalisha madudu yanayofanyika !!!!!.........

Mimi si mtu wa kaskazini lakini je, ni hekima nchi kuiendesha kiswahili Kama unavyojiaminisha na ni aibu kubwa pia kuona tunataka kuiendesha nchi Kama ndoa za mitala yaani kila mtu analalama kuhusu zamu yake ( no wonder we are still poor)

Brother Kama hujui ni kuwa usafiri wa anga ni mgumu ndio maana mashirika mengi yanaendeshwa kwa hasara hivyo, Kama nchi tunatakiwa kuwa makini na kila uwekezaji tutakaoufanya maana chato haina potential kwa route za ndani na nje

Uwanja ungejengwa popote lakini kwa. Hoja zenye mashiko kwa mfano uwanja wa iringa ama dodoma ungejengwa vyema kwa ajili ya kurahisisha connectivity ndani ya nchi na kufungua kanda ya utalii ya kusini bado ingeleta mantiki lakini kuna hoja gani chato !!!!!.......

Brother badili mtazamo wako ili nchi yetu iendelee , aviation industry kwa tz bado ni changa kwa kutegemea route za ndani hivyo za nje ndio kimbilio ambapo huko ndipo kuna ushindani hivyo maamuzi yoyote ya kipuuzi yatatugharimu
 
Fortunately huu utakuwa na shughuli za kiuchumi. kuna national parks pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…