Tetesi: Hatimaye "Chato International Airport" kuzinduliwa rasmi mwezi Aprili

We ulikimbia map reading,,, kaa kwa kutulia,,,
Wewe unajifanya mbobezi wake una kipi cha ziada!!!

Tanzania kijiografia ni kubwa kwa hivi siyo kweli kusema arusha ndipo katikati who kwa sababu tu umejumuisha na maji!!

Pili baada ya sudani kujiunga hoja ya arusha kuwa center is irrelevant ...na Congo akiomba ndo mtachekesha!! Owe kuwa waliowaza kupeleka makao makuu arusha from the start walikosea tutaishi kwa makosa hayo hayo!!!
 
Shauri yenu mlimwacha elimu akaenda zake. Wacha wajenge ssie tutapanda kuja chato. Hatutaki ujinga
Utapande ndege ya nani kwenda Chato wakati sasa hivi mnaomba chakula cha msaada. Wewe saizi umekaa nyumbani kwa shemeji yako unategemea dada yako akipika ule bure haujui chochote kuhusu rural development. Sisi tunaojua tunashauri objectively kuwa angeanza na vitu vya kuwaendeleza watu wa Chato na sio yeye binafsi maana mimi niliyefika Chato vijijini najua hali ilivyo, ni kama vijiji vingine vya Tanzania, kuna umaskini umetawala, maskini hapandi ndege anapanda basi, wewe unakatiwa na shemeji yako ticket kwa vile kamuona dada yako na kakuleta Dar, yule mwananchi wa Mwendakulima anakatiwa ticketi na nani? Kwa nini huyu mtu asipelekewe maji toka ziwa victoria akayatumia kulima kwa umwagiliaji asilie njaa. Maendeleo ni grassroot approach na sio top down kama mnavyojidanganya
 
He ha ha naona unaeleza uhalisia wako!! Tushasema uwanja tunajenga!!

Wananchi walio kumbwa na tetemeko wamejengaa wenyewe serikali isingepata hela za kuwajengea wote!!

Tatu njaa uko kila mahala ata uko pwani wanakula maembe kwa wingi kwa sasa mwache magufuri afanye kazi.

Washauri vijana wenzio waliofanya kazi waongeze bidii nawe ukiwamo!!!
 
Kama ni Tanzania na kuna fursa hakuna malalamiko twendeni Chato ukifukuzwa ndio ulalamike
 
donald trump lazima atue kwenye uzinduzi wa chato international airport
 
Kwani mkoa wa geita una uwanja wa ndege? Kujengwa uwanja wa ndege mkoa wa geita imekuwa shida? Mbona hamjasema kuhusu uwanja wa songwe
Wewe nshomile utalinganisha uwanja wa ndege wa Songwe unaounganisha jiji la Mbeya na kijiji cha Chato, nyie nshomile wabinafsi sana. Fastjet wameshindwa kumudu soko la Mbeya kwa vile demand ni kubwa kuliko supply. Ndege za mashirika ya kimataifa zinataka uwanja uwekewe taa ili iwe strategic airport ya kufanyia re-fueling lakini serikali imekosa hela za kuweka taa. Suala sio uwanja unajengwa Chato, hapa ni suala la uwanja wa tatu kwa ukubwa Tanzania. Kwani angejenga ka uwanja kale ka Bukoba ambcho nyie nshomile mnayatia hasara mashirika ya ndege kwa kutojaza ndege zinaishia kufaulishana tu pale Mwanza, nani angelalamika hapa?
 
chato ni jiji kubwa sana hivyo uwanja wa ndege wa kimataifa ulihitajika kwa hali na mali
 
hahaha its a matter of time mtamuelewa mtoa mada kwa hayo maendeleo yatakayo letwa na huo ujenzi.
 
Hacha kamba hata wa chato utaunganisha Wilaya za jirani. ..nanyi kama wachaga mnataka kila kizuri kiwe kwenu!!!...
 
hahaha its a matter of time mtamuelewa mtoa mada kwa hayo maendeleo yatakayo letwa na huo ujenzi.
Ukaskazini umewaharibu sana. Kwenye mambo ya msingi mnaingiza komedi na matusi bila kusahau dhihaka.
Awamu hii ni shubiri kwenu.
 
 

Chato ni Mji unao kua sana ndio maana umejengwa uwanja wa maana, pia Migodi ya Geita watumishi wake watatumia huu uwanja, Ya kaisali mpe kaisali na ya Mungu mpe mungu
 
Majungu tu, kwani chato wanakaa nyani? Kwani lazima ndege zote wapande watalii? Hacheni ubwe.ge kwani chato ipo sudan?
Hoja dhaifu huletwa na watu dhaifu!! Tunataka sababu za kiuchumi katika ujenzi was uwanja was chato sio utuletee ngonjera za kwene kanga hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…