kisiki kizito
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 676
- 858
We ulikimbia map reading,,, kaa kwa kutulia,,,Hacha mbege wewe!!! Umekimbilia kwenda kuunganisha maji!!! Center ni kagera sema mkifikiria kuipeleka kwa wahaya mnaugua!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ulikimbia map reading,,, kaa kwa kutulia,,,Hacha mbege wewe!!! Umekimbilia kwenda kuunganisha maji!!! Center ni kagera sema mkifikiria kuipeleka kwa wahaya mnaugua!!!
Wewe unajifanya mbobezi wake una kipi cha ziada!!!We ulikimbia map reading,,, kaa kwa kutulia,,,
Utapande ndege ya nani kwenda Chato wakati sasa hivi mnaomba chakula cha msaada. Wewe saizi umekaa nyumbani kwa shemeji yako unategemea dada yako akipika ule bure haujui chochote kuhusu rural development. Sisi tunaojua tunashauri objectively kuwa angeanza na vitu vya kuwaendeleza watu wa Chato na sio yeye binafsi maana mimi niliyefika Chato vijijini najua hali ilivyo, ni kama vijiji vingine vya Tanzania, kuna umaskini umetawala, maskini hapandi ndege anapanda basi, wewe unakatiwa na shemeji yako ticket kwa vile kamuona dada yako na kakuleta Dar, yule mwananchi wa Mwendakulima anakatiwa ticketi na nani? Kwa nini huyu mtu asipelekewe maji toka ziwa victoria akayatumia kulima kwa umwagiliaji asilie njaa. Maendeleo ni grassroot approach na sio top down kama mnavyojidanganyaShauri yenu mlimwacha elimu akaenda zake. Wacha wajenge ssie tutapanda kuja chato. Hatutaki ujinga
He ha ha naona unaeleza uhalisia wako!! Tushasema uwanja tunajenga!!Utapande ndege ya nani kwenda Chato wakati sasa hivi mnaomba chakula cha msaada. Wewe saizi umekaa nyumbani kwa shemeji yako unategemea dada yako akipika ule bure haujui chochote kuhusu rural development. Sisi tunaojua tunashauri objectively kuwa angeanza na vitu vya kuwaendeleza watu wa Chato na sio yeye binafsi maana mimi niliyefika Chato vijijini najua hali ilivyo, ni kama vijiji vingine vya Tanzania, kuna umaskini umetawala, maskini hapandi ndege anapanda basi, wewe unakatiwa na shemeji yako ticket kwa vile kamuona dada yako na kakuleta Dar, yule mwananchi wa Mwendakulima anakatiwa ticketi na nani? Kwa nini huyu mtu asipelekewe maji toka ziwa victoria akayatumia kulima kwa umwagiliaji asilie njaa. Maendeleo ni grassroot approach na sio top down kama mnavyojidanganya
Wewe nshomile utalinganisha uwanja wa ndege wa Songwe unaounganisha jiji la Mbeya na kijiji cha Chato, nyie nshomile wabinafsi sana. Fastjet wameshindwa kumudu soko la Mbeya kwa vile demand ni kubwa kuliko supply. Ndege za mashirika ya kimataifa zinataka uwanja uwekewe taa ili iwe strategic airport ya kufanyia re-fueling lakini serikali imekosa hela za kuweka taa. Suala sio uwanja unajengwa Chato, hapa ni suala la uwanja wa tatu kwa ukubwa Tanzania. Kwani angejenga ka uwanja kale ka Bukoba ambcho nyie nshomile mnayatia hasara mashirika ya ndege kwa kutojaza ndege zinaishia kufaulishana tu pale Mwanza, nani angelalamika hapa?Kwani mkoa wa geita una uwanja wa ndege? Kujengwa uwanja wa ndege mkoa wa geita imekuwa shida? Mbona hamjasema kuhusu uwanja wa songwe
Hili jengo limechafuliwa na popo balaa, mavyumba kibao matupu hayana watu wa kutumia. Waandishi wa habari wa nchi hii wengi kula kulala, hawaendi field kuona hivi vitu vinaendeleaje
hahaha its a matter of time mtamuelewa mtoa mada kwa hayo maendeleo yatakayo letwa na huo ujenzi.Bravo Mkuu,
Umeandika kitu ambacho ni mwiba kwa watu wengi, haswa hao jamaa wa Kaskazini.
Umeeleza ukweli wa figisu zinazopigwa kukandamiza Maendeleo katika maeneo husika kwa sababu za kibinafsi.
Nakupongeza kwa kuwa umeweza kuweka hili bandiko lako kiwepesi hata mama ntilie na dereva bodaboda anaweza kulielewa.
Kila mara huwa nawakumbusha jamaa zangu, kuna tofauti kati ya SIASA ZA KIHARAKATI na SIASA ZA KIZALENDO. Siasa za KIHARAKATI ni hatari sana katika Maendeleo ya Taifa Letu.
Kuna jamii/kanda Fulani wanafikiri awo wako entitled na kila kitu bora kuliko Jamii nyingine na Tanzania kwa Ujumla. Time has changed....let's dance with the tune.
Ciao.....
Hacha kamba hata wa chato utaunganisha Wilaya za jirani. ..nanyi kama wachaga mnataka kila kizuri kiwe kwenu!!!...Wewe nshomile utalinganisha uwanja wa ndege wa Songwe unaounganisha jiji la Mbeya na kijiji cha Chato, nyie nshomile wabinafsi sana. Fastjet wameshindwa kumudu soko la Mbeya kwa vile demand ni kubwa kuliko supply. Ndege za mashirika ya kimataifa zinataka uwanja uwekewe taa ili iwe strategic airport ya kufanyia re-fueling lakini serikali imekosa hela za kuweka taa. Suala sio uwanja unajengwa Chato, hapa ni suala la uwanja wa tatu kwa ukubwa Tanzania. Kwani angejenga ka uwanja kale ka Bukoba ambcho nyie nshomile mnayatia hasara mashirika ya ndege kwa kutojaza ndege zinaishia kufaulishana tu pale Mwanza, nani angelalamika hapa?
Ukaskazini umewaharibu sana. Kwenye mambo ya msingi mnaingiza komedi na matusi bila kusahau dhihaka.hahaha its a matter of time mtamuelewa mtoa mada kwa hayo maendeleo yatakayo letwa na huo ujenzi.
Sasa ni dhahiri kuwa, kuanzia mwezi Aprili katika mapumziko ya Pasaka, Mkuu wetu atakuwa na uhakika wa kwenda mapumzikoni kwa kutumia uwanja wa ndege mpya wa Chato, yaani Chato Airport.
Kwa sasa uwanja huo unaotegemewa kukamilika mwanzoni mwa mwezi Aprili upo ktk kiwango cha vumbi na unaendelea kufanyiwa matengenezo hadi kiwango cha lami. Tayari ndege ndogo aina ya Beech Craft(King Air) mali ya kampuni binafsi ya TanzanAir imetua kwa mara ya kwanza ktk uwanja wa ndege wa Chato na hivyo kutoa uhakika kuwa sasa Chato inaenda kupokea ndege bila wasiwasi wowote.
Kwa mujibu wa taarifa,uwanja huo una kiwango cha "Aerodrome Reference Code 4D". Hizi "codes" hutolewa na ICAO (International Civil Aviation Organization) kulingana na ubora wa kiwanja kwa kuangalia aina ya ndege zinazoweza kutua, ukubwa wa ndege kwa maana ya uzito na upana wa mabawa.
Codes hizi zipo kuanzia 1A hadi 4F. Hivyo kwa kiwanja kuwa na Code 4D maana yake kimebakiza Code mbili tu kufikia kiwango cha mwisho cha ubora wa viwanja unaotambulika na ICAO.Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere "Code" yake ni 4E, hivyo uwanja wa Chato upo nyuma ya JNIA kwa "code letter" moja lakini upo sawa kwa "Code number" na JNIA kwa sababu vyote vipo kwenye "Code number 4".
Mfululizo wa "Aerodrome Reference Codes" huanza na 1A, 2B, 3C, 4D, 4E, 4F. Hivyo ni hakika sasa Chato Airport kwa kuwa na "Code 4D" inaenda kuwa moja kati ya viwanja vitatu venye kiwango bora Tanzania ikikaa nyuma ya Julius Nyerere na KIA. Uwanja wa Mwanza ni "Code 4D" hadi hapo ukarabati utakapokamilika utakuwa na sifa ya "Code 4E".
Hatuididimizi dhamira ya Mkuu kujenga kiwanja chenye ubora Chato, bali tunahoji kwa uelewa mdogo tu wa kanuni za Uchumi. Kwamba kiwanja hiki huko Chato kinaweza kuwa na matokeo chanya ya kiuchumi kama ambavyo wangeweza kuboresha uwanja wa ndege wa Mwanza?
Tunauhitaji Uwanja wa Mwanza kuliko ule wa Chato kwa sababu za kiuchumi ktk sekta ya Utalii. Tumekuwa tukilalamika sana kwa mbuga yetu ya Serengeti kukosa watalii wa kutosha kisa njia za usafiri kufika huko zilivyokuwa duni kushinda majirani zetu tunaopakana na mbuga ya Maasai Mara.
Uwanja pekee unaohudumia mbuga ya Serengeti kwa njia ya anga ni "Seronera Aistrip" ambapo huwa busy sana na huchukua ndege ndogo zenye abiria wasiozidi 50. Hii ndio moja kati ya "busiest Airstrip" kwa Tanzania.
Ili ufike Serengeti kupitia uwanja wa KIA unahitaji kutembea kilomita 284 kwa gari toka uwanjani, kwa kupitia uwanja wa ndege wa Arusha inakupasa utembee kwa gari umbali wa kama kilomita 226 wakati kwa kupitia Uwanja wa Mwanza,mtalii anatembea kilomita 166 hadi kufika geti la Ndabaka(?).
Kwa mahesabu hayo,kama ujenzi wa Uwanja wa ndege Serengeti ulishindikana,basi Uwanja wa ndege wa Mwanza ndio suluhisho la haraka ktk kuwafikisha watalii kwa urahisi ktk mbuga hiyo.Tukiusahau uwanja huo na kutazama zaidi ule wa Chato, tunaweza kuhoji dhamira hii ya maendeleo ktk kufika uchumi wa kati. Na kuhoji kwetu kusiababishe "hasira" kwa wenye mamlaka, bali ichukuliwe ni kama changamoto za raia kwa serikali yao.
Ukisefu wa usafiri wa uhakika na hasa ule wa njia ya anga, ndio unatukosesha mapato na kupunguza idadi wa Watalii ktk mbuga yetu ya Serengeti na hivyo wengi kuishia Maasai Mara.
Licha ya kuwa Serengeti ina ukubwa mara sita ya Maasai Mara,lakini bado "Vitanda" vya kupokea watalii katika hotel za Serengeti hivizidi 970 wakati wenzetu Maasai Mara ktk mbuga yao, kuna "Vitanda" zaidi ya 4,700. Hakika kupanga ni kuchagua.
Mpaka sasa Serikali kupitia Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania inamiliki viwanja vya ndege 58(ukijumlisha na Chato itakuwa 59),na wakati Uwanja wa ndege wa KIA ukiwa mikononi mwa Kampuni ya KADCO. TANAPA inamiliki karibu viwanja 26(Vingi vikiwa ni Airstrips),NCAA 2 na viwanja binafsi 93.
Katika hivi vya binafsi,vingi vinamilikiwa na wawekezaji toka nje ambao huvitumia kufanya udanganyifu ktk maliasili zetu.Uwanja wa ndege wa mgodi wa Geita(Mchauru) na Uwanja wa ndege wa Tishwa(HTSW) kule Loliondo unaomilikiwa na mtoto wa mfalme wa UAE ni moja kati ya viwanja vinavyopswa kutazamwa vizuri na serikali hii.
Uwanja huu wa Tishwa Loliondo ndio "unatisha", kwani huku ndege za familia ya mfalme hushuka moja kwa moja na kunyanyuka na mali nyingi. Umejengwa kiasi cha kuweza kutua na kuruka ndege kubwa.
Huu ndio uwanja ulio ktk eneo ambapo ukifika na kuwasha simu unakutana na meseji inasema "Dear Guest,Welcome to the UAE.Enjoy the best network coverage and other unmatched services only with Etisalat.Please use <+> or <00> before the country code for international calls.For directory services call 181,for availability of GPRS,MMS 3G roaming services call Etisalat Travellers help line 8002300 & for inquiries on Tourism,entertainment,shopping,etc call 7000-1-7000(Roaming rates apply).Have a pleasant stay in the UAE"
Labda wengine hatuna utaalamu wa Telecomunication, lkn kweli inawezakana hii kitu iingie tu kwenye simu yako wakati hujafanya "roaming". Haya ndio mambo ya TCRA kututoa tongotongo, sio zile mambo zao za .co.tz
Tunatakiwa tuwekeze ktk usafiri wa anga,lakini tuwekeza kimkakati na kwa faida za uchumi wa pamoja kama Taifa.Tukipewa sababu za kiuchumi zinazoupeleka uwanja wa ndege Chato wenye "Aerodrome Reference Code 4D" hatutakuwa na maswali.Tusipapata majibu yenye faida za kiuchumi,tutaendelea kuhoji hata tukiwa mafichoni.
Tukumbusha umuhimu wa Mwanza ktk kuihudumia Serengeti National Park, tutawakumbusha kuwa mlikuwa na mradi wa kujenge Uwanja wa ndege Serengeti,ila mkapambana na wanaharakati wa Ikolojia. Uwanja wa Serengeti ulipaswa kujengwa kati wa Kiwanja cha Ndege pale Mgumu.
Serengeti International Airport ilikuwa ni Code 4F, ilipaswa kuwa na runway ya mita 3,800 hadi mita 4,200.Mradi huo ulififia,sasa "tumefufukia" Chato na Uwanja wa "Code 4D".Je huku ndio kupanga na kuchagua??
Wakuu ukiyatafakari sana mambo ya nchi hii unaweza kuwa kichaa. Tuishukuru [HASHTAG]#Jamiiforums[/HASHTAG], inatupa wasaa wa kuhoji haya nyuma ya "keyboard". Mambo haya enzi za Waziri wa Maliasili Aboubakari Mgumia yaliondoa maisha ya Ndugu Stan Katabaro. Tunapouanza mwaka mpya, tuzame katika sala na maombi. Ili wale wanaoomba tuwaombee kila siku,tusiwaombee tu wawe na afya njema..Bali walegeze mioyo ktk kuishughulikia mitandao kama mtandao wetu pendwa wa [HASHTAG]#Jamiiforums[/HASHTAG].
Nawatakia Mwaka Mpya mwema. Ninafunga mwaka na "Chato Interantional Airport".... Panapo majaliwa hapo mwakani. Nitakuwa likizo huko kwetu porini.... Ciaoooo!!!!
Wewe nshomile utalinganisha uwanja wa ndege wa Songwe unaounganisha jiji la Mbeya na kijiji cha Chato, nyie nshomile wabinafsi sana. Fastjet wameshindwa kumudu soko la Mbeya kwa vile demand ni kubwa kuliko supply. Ndege za mashirika ya kimataifa zinataka uwanja uwekewe taa ili iwe strategic airport ya kufanyia re-fueling lakini serikali imekosa hela za kuweka taa. Suala sio uwanja unajengwa Chato, hapa ni suala la uwanja wa tatu kwa ukubwa Tanzania. Kwani angejenga ka uwanja kale ka Bukoba ambcho nyie nshomile mnayatia hasara mashirika ya ndege kwa kutojaza ndege zinaishia kufaulishana tu pale Mwanza, nani angelalamika hapa?
Hoja dhaifu huletwa na watu dhaifu!! Tunataka sababu za kiuchumi katika ujenzi was uwanja was chato sio utuletee ngonjera za kwene kanga hapa!Majungu tu, kwani chato wanakaa nyani? Kwani lazima ndege zote wapande watalii? Hacheni ubwe.ge kwani chato ipo sudan?