Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu kwa hiyo maeneo mengine yasiyo na kiongozi yatafaidika vipi, kwa mfano maeneo ya kusini lini watajengewa huo uwanja wa ndege?Sasa acha fursa zinapopatikana sehemu zingine basi wazitumie fursa hizo, huku mkiwa wavumilivu mkisubiri 2020 ,
Hata Mimi kwa jicho la UKADA ni majungu lakini kitaalam Barafu ameongea sana point aisee hasa kiuchumi na fikra baada ya awamu yetu hii ikiisha.Majungu tu, kwani chato wanakaa nyani? Kwani lazima ndege zote wapande watalii? Hacheni ubwe.ge kwani chato ipo sudan?
Wewe ni wakuhurumiwa!Majungu tu, kwani chato wanakaa nyani? Kwani lazima ndege zote wapande watalii? Hacheni ubwe.ge kwani chato ipo sudan?
Umemwaga Povu lakini umeshindwa kujibu Hoja za barafu...Mnaweza kuweka uchambuzi mzuri sana ila ukakosa mashiko kwa kuwa tu una lengo la kiitikadi zaidi.
Mimi huwa najiuliza, je suppose tungechagua huko, kwa bahati mbaya sana umeshindwa kujiendesha wenyewe mkaamua kuturudishia walewale waliokimbia huku baada ya kukatwa je mngeweza kutujengea nchi kweli?, au mngeishia kuandika uchambuzi kama huu wakati mkishuhudia barabara ya Chalinze-Moshi ikiwekwa 4 ways, na kiwanja kama hicho cha chato kikijengwa Hai au Monduli?
Maana wenzetu wa upinzani mmekuwa mabingwa ya kuchambua msivyoviweza, mmekuwa wazuri theoretically but you are not practically oriented, mambo yenu mengi yanakwenda kinyume lakini kwa vile kafanya yule, basi you keep quite kama vile hamuoni huku ukisubiri uongee likifanyika upande wa pili.
Kaskazini ilijengeka mapema kwavile watu wa kaskazini walipata fursa, wakakumbuka kwao ili wapate kwenda mapumzikoni kila mwaka, sasa acha fursa zinapopatikana sehemu zingine basi wazitumie fursa hizo, huku mkiwa wavumilivu mkisubiri 2020 ,
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Hahahaaa! Nisamehe Binti Forogo. Wakati naandika nilikuwa mitaa ikapita gari ina vumbi hatari imeandikwa Binti Forogo then likanitoka tu hilo neno.
aisee!!Mnaweza kuweka uchambuzi mzuri sana ila ukakosa mashiko kwa kuwa tu una lengo la kiitikadi zaidi.
Mimi huwa najiuliza, je suppose tungechagua huko, kwa bahati mbaya sana umeshindwa kujiendesha wenyewe mkaamua kuturudishia walewale waliokimbia huku baada ya kukatwa je mngeweza kutujengea nchi kweli?, au mngeishia kuandika uchambuzi kama huu wakati mkishuhudia barabara ya Chalinze-Moshi ikiwekwa 4 ways, na kiwanja kama hicho cha chato kikijengwa Hai au Monduli?
Maana wenzetu wa upinzani mmekuwa mabingwa ya kuchambua msivyoviweza, mmekuwa wazuri theoretically but you are not practically oriented, mambo yenu mengi yanakwenda kinyume lakini kwa vile kafanya yule, basi you keep quite kama vile hamuoni huku ukisubiri uongee likifanyika upande wa pili.
Kaskazini ilijengeka mapema kwavile watu wa kaskazini walipata fursa, wakakumbuka kwao ili wapate kwenda mapumzikoni kila mwaka, sasa acha fursa zinapopatikana sehemu zingine basi wazitumie fursa hizo, huku mkiwa wavumilivu mkisubiri 2020 ,
Hoja hii inatokana na mapungufu ya kutafuta habari kwa kinaMfano nikuulize. Hivi walipoamua kujenga uwanja wa KIA hapo ulipo miji ya Moshi Arusha na Boma Ng'ombe ilikuwa na watu wangapi wakati huo. Kwa nini wasingepanua kiwanja cha moshi au cha arusha vilivyo kuwepo.
Ni fair point, usiishie hapo tueleze kwa ukubwa unaotarajiwa nini faida za ujenzi wa uwanja huo? Hicho ndicho muhimu kujadili hapaUjenzi wa uwanja wa chato ni muhimu na haujakwamisha wala kuzuia ujenzi wa viwanja vingine muhimu vya Mwanza Tabora Mpanda Mbeya Shinyanga Simiyu Mara Bukoba Kigoma Singida nk.
Tunarudi pale pale, kuwekeza lazima kuwe na sababu.Ni jukumu letu kuonyesha umuhimu wa ujenzi au upanuzi wa hivyo viwanja vingine tunapojadili ujenzi wa kiwanja cha chato, na kupiga kelele hivyo viwanja navyo vijengwe. Kuliko kukashifu uwanja kujengwa chato.
Hakuna tatizo kabisa.Kuna tatizo gani kila walaya kuwa na kiwanja bora cha ndege kama kinalipa?
Ningemuomba JPM na serikali yake wafikirie kuunganisha reli ya kati ifike MusomaMie namwomba JPM na.... aendelee pale Mugumu kuweka kiwanja cha kisasa maana jamaa anaonekana ni mtaalamu wa ujenzi maana anaweza kujenga hivi viwanja kwa muda mfupi.