Tetesi: Hatimaye "Chato International Airport" kuzinduliwa rasmi mwezi Aprili

Tetesi: Hatimaye "Chato International Airport" kuzinduliwa rasmi mwezi Aprili

Watu wanapata MA Leaders lakini sisi tunapata MA Dealers akili makalioni.
 
Ndio maana nimesema hoja dhaifu huletwa na watu dhaifu pia,,,geita kuna uwanja unamilikiwa na mgod, na ndege hutoka pale moja kwa moja bila kupitia sehemu yoyote tena bila kukaguliwa, mwanza kuna uwanja mbao unahitaji kuboreshwa na kutoka mwanza hadi chato sio mbali, mkoa Jiran na hapo chato ie kagera kuna uwanja, kigoma kuna uwanja !! Kwa nn tusipeleke nguvu kuboresha vilivyopo kwanza kama kuna nia ya dhat?
Songwe kuna migod mipya lakin ile songwe international airpot had Leo haijakamilika!?? Kuwa mkweli mkuu , otherwise u aongo,was na political wing!!

Songwe utakamilika tu, mambo mazuri hayahitaji haraka
 
Mkuu baada ya miezi mitatu haiwezi kuwa nyuma ya Dsm na KIA...Lkn kwa mpangi wa muda mrefu,bila shaka utakubaliana na mimi itakuwa nyuma ya hivyo viwanja wakiwa sambamba na ule wa Mwanza.Sina nia ya kumpotosha mtu
Haya bwana hongera kwa ufuatiliaji wako.Tuombe uzima tuyaone hayo mafanikio.
 
Wacha kubabaisha watu bwana. Unahisi wale wanao kwenda mleba au biharamuro ama geita ama katoro ama kahama watalazimika kutumia mabasi..

Usisemehe mifuko yavwenzio kama Nina hela wenzako wanazo. Na habari ya viwanda na hayo mengine yatakuja.
Hakuna mtu wa kupanda Boeing au bombardier Chato wewe labda apande yeye na familia yake.
 
Kipigi,

Naungana na wewe.

Pist yake kwangu imekosa mantiki pale aliposema uwanja wa chato usijengwe ili kuboresha wa mwanza wakati anatambua kwamba

1. Maboresho ya uwanja wa mwanza yanaendelea hadi sasa na ujenzi wa uwanja wa chato hauja athiri maboresho ya uwanja wa mwanza.

2. Kuna uhitaji wa kujenga uwanja wa ndege kuhudumia mbuga ya serengeti. Badala ya kupiga debe uwanja huo ujengwe ndani au karibu na mbuga hiyo anashadadia uwanja wa mwanza ndio uhudumie serengeti ilhali upo miles away.

Ni seme tu kwamba badala ya kulalamikia uwanja kujengwa chato. Tusifie na kudai ujenzi na uboreshaji wa viwanja vingine vingi tu vinavyohitajika kote nchini kulingana mahitaji ya sasa na ya baadae.

Lengo isiwe kukataa maendeleo yasiwepo eneo flani bali yapelekwe kwa wakati kulingana na mahitaji na faida zitakazopatijana.
Mi nadhani point ya Barafu ni suala la economic significance of the project hapo Chato. Kwani huo wa Chato ungejengwa kwa kiwango kama airstrip/port ya Musoma au Arusha halafu resources zingine zikaelekezwa kwingine kungekuwa na shida gani?

Mi ninachokiona kati yenu ni ishu ya itikadi na hizi itikadi zenu ndo zinafanya tunaishi maisha ambayo siyo yetu ukilinganisha raslimali tulizonazo kama taifa. Hata hivyo kila mtu anayo haki ya kutoa maoni yake na yakaheshimiwa. WOTE MKO SAHIHI kwa mtazamo kwa kila mmoja kama watu wawili walioko juu na chini ya namba 6/9.
 
Tusianze kulaumu tu bila ya kuwa na facts za kutu-back up, cha kujiuliza kwanza ,je, Serikali au tuseme uwamu iliyopita waliwahi kuwa na mpango wa kujenga kiwanja cha ndege CHATO? pili ,je, uwanja huo umejengwa strategically kwa masuala ya ulinzi wa nchi - haya ndiyo maswali ya kujihoji kwanza kabla ya kuanza kumlaumu JPJM bila sababu za msingi.
International airport Chato inasaidia nini kiulinzi? Ungeelezea kiuchumi ningekuona wa maana.
Hivi hizo shule mlienda kusomea Ujinga? By Faiza Fox
 
Mkuu nadhani tatizo like hapo watanzania wamekuwa walalamishi Kama watoto wadogo. Hawajajisumbua hata kuangalia budget ya Mwaka wa fedha Kama kipaumbele hicho kilikuwepo, pia kuangalia Kama 5years strategic plan ya nchi ilitaja mradi huo.Kulaumu bila data ni makosa. Labda tufanye home work ya kupitia budget ya mwaka wa fedha kwanza halafu tune na majibu
Kuwekwa kipaumbele kwenye bajeti siyo hoja. Chamsingi tujiulize kuna tija?
Tumewahi kuwa na vipaumbele nchi hii unajaza treni lakini vingi Kati ya hivyo ni wastage of Tax
 
Msalato international airport imefikia wapi? Maana hayo ndo makao makuu ya serikali tunahamia.
 
barafu,

Hongera kwa mada yako.lakini usiwaaminishe watanzania kupitia mtandao na hizo code zinazoonesha level za viwanda vya ndege kuwa sasa kiwanja cha Chato kitakuwa na ubora baada ya kiwanja cha ndege cha Dar na Kilimanjaro.

Pamoja Maelezo mengi ambayo ni hisia hasi kwa utawala wa Rais Magufuli kuhusu huo uwanja wa chato huo uwanja ni muhimu tu kwa matumizi ya Rais akiwa ziara mkoani kwake na hata akiwa mapumziko ni nyumbani kwake. Hilo halina mjadala ndiyo maisha yanavyotakuwa kuwa.

Program ya viwanja vya ndege vingine nchi mzima IPO ktk bajeti ya Wizara ya Ujenzi ktk hatua mbalimbali za utekelezaji. Mfano Dodoma kimeboreshwa sasa na ndege kubwa zinatua sasa,Katavi uwanja ni mzuri sana umejengwa n.k

Naona macho na masikio yote umeyatoa kiwanja cha chato mkoa wa Geita ndiyo kinajengwa hivyo.
Ni kweli Mlau balafu anakosea sana! Tena sana! Ata Nyerere alijenga Butiama International Airport(BIA), Mh. Alhaj Mwinyi alijenga Pemba International Airport, mh. Mkapa naye alijenga Newala International Airport(NIA), Mh. Jakaya naye alijenga Msoga International Airport.
 
Huwezi kuwa na International Airport kwa miezi mitatu,lkn ni kweli kuwa "phase" mojawapo ya hatua ya kuwa na uwanja wa aina hiyo unaweza kukamilika kwa miezi hiyo.

Kumbuka hatua za mwanzo za Uwanja huu umeanza toka mwezi September...Hivyo hadi April itakuwa ni miezi karibu 07.

Mkuu Ngapulila kumi huanza na moja,na kuuzindua sio kuwa ndio utakuwa umekamilika..Hatua nyingine za kuuboresha zitaendelea.Asante
Hiyo sio kweli.Kama ni kwa kiwango cha International airport hakuna phase inayoweza kutekelezeka na uzinduz kufanyika

Wataalamu wa Civil na structural engineering wanaweza kutusaidia kwa hili.Pia kabla ya kuweka uhakika unachosema rejea ujenzi wa Kiwanja chochote cha ndege unachokijua wewe utueleze phase ya awali kukamilika ilichukua muda gani na vitu gani vilikamilika
 
Kumbe kuna watu wana chuki na kaskazini mmmmh! itabidi tuanze independent movement tuwe nchi huru
 
Wakuu tunahusisha viwanja vya ndege na mbuga kweli? Inamaana tusingekuwa na mbuga hatusingejenga viwanja vya ndege? Anyway ata mimi sijui umuhimu wa uwanja wa Chato japo najua serikali inaujua umuhimu wake!
 
Back
Top Bottom