Hatimaye Chombo cha anga za mbali cha waarabu kimefika salama eneo la Orbit

Hatimaye Chombo cha anga za mbali cha waarabu kimefika salama eneo la Orbit

Hakuna aliethibitisha kufika huko,wote wanaongelea nadharia tu.hakuna aliethibitisha bila kuacha maswali.

Sasa hapo utakataaje kuwa mwezini hakuendeki,na sio kwamba majaribio hayafanyiki.

Yanafanyika ila hayafanikiwi
hakuna aliedhibitisha? una uhakika brother?
eti mwezini hakuendeki .. nani kasema hahaha
dude unaish dunia ya ngapi?
wenzetu wameanza space exploration toka 1960.
by then africa bado inakimbizana na uhuru.

kwenye science wametuacha mbali.

lakini narudi palepale.. una ushahidi kuwa hawakuwahi kufika?
kama unao weka hapa.. sio porojo
 
Mkuu pole sana naona unaumia sana kwa hali ilivyo, watu wanaishi kwa hofu na uwoga wa hali ya juu.

👉🏾Juzi Marekani chombo chao kimefika sayari ya Mars na wamegonga cheers kwa hatua hiyo, najuw hatuwezi kuwafikia ila kuonyesha kuwa tupo njiani vitu kama hizi corona zisingetupa tabu.

Inafikia hatua utaalam unawekwa pembeni kisa mwanasiasa anasema fanya hivi, hili ni tatizo kubwa na lenye kuondoa misingi ya elimu kwa wataalamu wetu, wanakuwa hawana mtu wa kuwasikiliza, hatua ya mwisho ni vurugu na uharibifu.

Wakati nchi za wenzetu dira zao zinaamini katika Science,Research and development katika ku-propel and ku-prosper za kwetu bado zinaamini katika mawazo ya viongozi ili ku-propel.

Na wakati mwingine mawazo yao huwa ya kijinga kwa maana viongozi wetu wengi hupenda kusifiwa hata kwa ujinga ili kuonesha hakuna wengine bora zaidi ya wao

Pengine hufanya hivi wapate kibali cha kuendelea kutawala kwa faida zao binafsi.

Kama Marekani ingekuwa Tanzania kwa mfano leo Trump angekuwa Rais Marekani.

Lakini pia kwa yale ya kijinga ya Trump hawakusita kumkemea na kurekebisha.

Hii ndio misingi ya nchi inayoamini katika Facts na sio pompousity ya mtu.

Moja kati ya mambo muhimu yaliyomuharibia Trump credit ni pamoja na jinsi alivyoshughulikia mlipuko wa korona mwanzoni mwa mlipuko.

Jambo ambalo pia ndio msingi wa tatizo lile lile hapa kwetu lakini outcome kwa watu walio-base kwenye science and Facts ni tofauti na sisi tulio-base kwenye busara za viongozi hata kama busara ni primitive, unstandard and uncivillized.

Leo, wataalamu wetu wa afya kwa mfano, wanashindwa kufanya kazi zao kwa sababu kazi zao zinapingana na fikra za kiongozi mmoja asiyeamini katika nisingi ya tiba based on science.

Kesho idara za fedha zinaweza kuingiliwa pia na mtu sababu ni kiongozi na mawazo yake hayapingwi na si mtaalamu wa fedha

Kesho, idara ya kilimo, utafiti n.k vitaingiliwa. Sasa badala vyombo vyetu vimpe ushauri wa kitaalamu, kiongozi ndiye kawa mshauri wa vyombo vyetu.

Mungu wabariki watanzania, akili zao mgando zizidi kufunguka.
Mungu wabariki Waafrica waondokane na ujinga.
Ahsanteni kwa mjadala huu!
 
hakuna aliedhibitisha? una uhakika brother?
eti mwezini hakuendeki .. nani kasema hahaha
dude unaish dunia ya ngapi?
wenzetu wameanza space exploration toka 1960.
by then africa bado inakimbizana na uhuru.

kwenye science wametuacha mbali.

lakini narudi palepale.. una ushahidi kuwa hawakuwahi kufika?
kama unao weka hapa.. sio porojo
Weka uthibitisho wa waliowahi kufika mwezini,kama sio kale kapicha ka kuunga unga na kameshapingwa.

Kuhusu sayansi wala sikatai,mbona mars sijakataa tena ambako ni mbali zaidi.

Ila mwezini hakuendeki
 
Weka uthibitisho wa waliowahi kufika mwezini,kama sio kale kapicha ka kuunga unga na kameshapingwa.

Kuhusu sayansi wala sikatai,mbona mars sijakataa tena ambako ni mbali zaidi.

Ila mwezini hakuendeki
ww ndio nimekuomba udhibitisho. maana unadai hawajafika.
so idhibitisho wako ni upi?
 
Mkuu wewe unae amini ndio uweke uthibitisho kuonesha walifika.

Mimi ntakuonesha nini
ww unae pinga ndio uweke udhibitisho. na toka mwanzoni sana nilikuomba udhibitisho ukawa uanzunguka zunguka tu.
 
Mkuu mwezini hakuna mtu amewahi kufika,hivyo sio tu ni ngumu ila hakuna alowahi kufika huko,wanaodai wamefika wanaleta ujanja ujanja tu.

Sababu ya msingi sina ila nikitazama mwezi kwa macho ya nyama haya,napata hisia kuwa pale hakuna mtu anaweza fika
Kumbe unapata hisia
 
Wakati nchi za wenzetu dira zao zinaamini katika Science,Research and development katika ku-propel and ku-prosper za kwetu bado zinaamini katika mawazo ya viongozi ili ku-propel.

Na wakati mwingine mawazo yao huwa ya kijinga kwa maana viongozi wetu wengi hupenda kusifiwa hata kwa ujinga ili kuonesha hakuna wengine bora zaidi ya wao

Pengine hufanya hivi wapate kibali cha kuendelea kutawala kwa faida zao binafsi.

Kama Marekani ingekuwa Tanzania kwa mfano leo Trump angekuwa Rais Marekani.

Lakini pia kwa yale ya kijinga ya Trump hawakusita kumkemea na kurekebisha.

Hii ndio misingi ya nchi inayoamini katika Facts na sio pompousity ya mtu.

Moja kati ya mambo muhimu yaliyomuharibia Trump credit ni pamoja na jinsi alivyoshughulikia mlipuko wa korona mwanzoni mwa mlipuko.

Jambo ambalo pia ndio msingi wa tatizo lile lile hapa kwetu lakini outcome kwa watu walio-base kwenye science and Facts ni tofauti na sisi tulio-base kwenye busara za viongozi hata kama busara ni primitive, unstandard and uncivillized.

Leo, wataalamu wetu wa afya kwa mfano, wanashindwa kufanya kazi zao kwa sababu kazi zao zinapingana na fikra za kiongozi mmoja asiyeamini katika nisingi ya tiba based on science.

Kesho idara za fedha zinaweza kuingiliwa pia na mtu sababu ni kiongozi na mawazo yake hayapingwi na si mtaalamu wa fedha

Kesho, idara ya kilimo, utafiti n.k vitaingiliwa. Sasa badala vyombo vyetu vimpe ushauri wa kitaalamu, kiongozi ndiye kawa mshauri wa vyombo vyetu.

Mungu wabariki watanzania, akili zao mgando zizidi kufunguka.
Mungu wabariki Waafrica waondokane na ujinga.
Ahsanteni kwa mjadala huu!

yaani ustarab wa wamerekani unaupima kwa trump, wale mil 70+ waliompigia kura walikuwa ni wabongo yan mzungu akikosea mnatafuta visababu aonekane yuko sahihi kwa mapungufu ya trump kura mil 5 badala ya 70+ zigetosha kuonesha wazungu ni perfect
 
Dubai wana project ya hyperloop train.Wana project ya gari la umeme wana loroject ya flying tax.Wanategemea mafuta na biashara ila wametuacha maendeleo.Si dhani kama Dubai wana rasilimali kama zetu TZ kuanzia wingi wa maji,misitu madini ardhi ya kulima,mifugo nk
Wangekuwa na raslimali ka za Waafrika, mzungu hangemfikia hata kidogo. Sahi huko jangwani na anafanya maajabu kila kukicha, hyperloop iko stages za mwanzo testing, flying taxis tayari wameanza testing mijini juu ya maghorofa yao, yaani wanakwenda kwa mwendo kasi aisee. Yule mtu pesa anajua kuzitumia vizuri sio ka sisi kufuja tu daily.
✌️
 
Wangekuwa na raslimali ka za Waafrika, mzungu hangemfikia hata kidogo. Sahi huko jangwani na anafanya maajabu kila kukicha, hyperloop iko stages za mwanzo testing, flying taxis tayari wameanza testing mijini juu ya maghorofa yao, yaani wanakwenda kwa mwendo kasi aisee. Yule mtu pesa anajua kuzitumia vizuri sio ka sisi kufuja tu daily.
✌️
Warabu sasa hivi wana fanya partinership na China na USA huenda tukabaki peke yetu au na latinos America. Hapa Africa naiona kidogo Nigeria na Ghana kwa mbali wanajaribu project za maana.
SA walikuwa na nafasi ya kwenda mbele badala yake wamerudi nyuma.
 
Hongera zao sana...

Binadamu wa zamani walijenga ukuta mrefu sana kwenda juu...

Binadamu wa sasa wanaruka maelfu ya safari mbali kabisa huko juu...
 
Warabu sasa hivi wana fanya partinership na China na USA huenda tukabaki peke yetu au na latinos America. Hapa Africa naiona kidogo Nigeria na Ghana kwa mbali wanajaribu project za maana.
SA walikuwa na nafasi ya kwenda mbele badala yake wamerudi nyuma.
Afrika itabaki kuwa Afrika, SA wangekuwa wamewakilisha toka kitambo sababu wako na vifaa vingi tu ila ata siwaelewe wale na wazungu wao, wanalala sana! 🤣
✌️
 
Back
Top Bottom