Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
hakuna aliedhibitisha? una uhakika brother?Hakuna aliethibitisha kufika huko,wote wanaongelea nadharia tu.hakuna aliethibitisha bila kuacha maswali.
Sasa hapo utakataaje kuwa mwezini hakuendeki,na sio kwamba majaribio hayafanyiki.
Yanafanyika ila hayafanikiwi
Wakati nchi za wenzetu dira zao zinaamini katika Science,Research and development katika ku-propel and ku-prosper za kwetu bado zinaamini katika mawazo ya viongozi ili ku-propel.
Na wakati mwingine mawazo yao huwa ya kijinga kwa maana viongozi wetu wengi hupenda kusifiwa hata kwa ujinga ili kuonesha hakuna wengine bora zaidi ya wao
Pengine hufanya hivi wapate kibali cha kuendelea kutawala kwa faida zao binafsi.
Kama Marekani ingekuwa Tanzania kwa mfano leo Trump angekuwa Rais Marekani.
Lakini pia kwa yale ya kijinga ya Trump hawakusita kumkemea na kurekebisha.
Hii ndio misingi ya nchi inayoamini katika Facts na sio pompousity ya mtu.
Moja kati ya mambo muhimu yaliyomuharibia Trump credit ni pamoja na jinsi alivyoshughulikia mlipuko wa korona mwanzoni mwa mlipuko.
Jambo ambalo pia ndio msingi wa tatizo lile lile hapa kwetu lakini outcome kwa watu walio-base kwenye science and Facts ni tofauti na sisi tulio-base kwenye busara za viongozi hata kama busara ni primitive, unstandard and uncivillized.
Leo, wataalamu wetu wa afya kwa mfano, wanashindwa kufanya kazi zao kwa sababu kazi zao zinapingana na fikra za kiongozi mmoja asiyeamini katika nisingi ya tiba based on science.
Kesho idara za fedha zinaweza kuingiliwa pia na mtu sababu ni kiongozi na mawazo yake hayapingwi na si mtaalamu wa fedha
Kesho, idara ya kilimo, utafiti n.k vitaingiliwa. Sasa badala vyombo vyetu vimpe ushauri wa kitaalamu, kiongozi ndiye kawa mshauri wa vyombo vyetu.
Mungu wabariki watanzania, akili zao mgando zizidi kufunguka.
Mungu wabariki Waafrica waondokane na ujinga.
Ahsanteni kwa mjadala huu!
Weka uthibitisho wa waliowahi kufika mwezini,kama sio kale kapicha ka kuunga unga na kameshapingwa.hakuna aliedhibitisha? una uhakika brother?
eti mwezini hakuendeki .. nani kasema hahaha
dude unaish dunia ya ngapi?
wenzetu wameanza space exploration toka 1960.
by then africa bado inakimbizana na uhuru.
kwenye science wametuacha mbali.
lakini narudi palepale.. una ushahidi kuwa hawakuwahi kufika?
kama unao weka hapa.. sio porojo
ww ndio nimekuomba udhibitisho. maana unadai hawajafika.Weka uthibitisho wa waliowahi kufika mwezini,kama sio kale kapicha ka kuunga unga na kameshapingwa.
Kuhusu sayansi wala sikatai,mbona mars sijakataa tena ambako ni mbali zaidi.
Ila mwezini hakuendeki
Mkuu wewe unae amini ndio uweke uthibitisho kuonesha walifika.ww ndio nimekuomba udhibitisho. maana unadai hawajafika.
so idhibitisho wako ni upi?
ww unae pinga ndio uweke udhibitisho. na toka mwanzoni sana nilikuomba udhibitisho ukawa uanzunguka zunguka tu.Mkuu wewe unae amini ndio uweke uthibitisho kuonesha walifika.
Mimi ntakuonesha nini
na wewe si uweke mbona unaruka-rukaww unae pinga ndio uweke udhibitisho. na toka mwanzoni sana nilikuomba udhibitisho ukawa uanzunguka zunguka tu.
yeye ndio anaruka ruka. na amenizunhusha tokea mwanzoni maana nilikuwa wakwanza kumuombana wewe si uweke mbona unaruka-ruka
okay, kila mtu aweke ubishi uisheyeye ndio anaruka ruka. na amenizunhusha tokea mwanzoni maana nilikuwa wakwanza kumuomba
Kumbe unapata hisiaMkuu mwezini hakuna mtu amewahi kufika,hivyo sio tu ni ngumu ila hakuna alowahi kufika huko,wanaodai wamefika wanaleta ujanja ujanja tu.
Sababu ya msingi sina ila nikitazama mwezi kwa macho ya nyama haya,napata hisia kuwa pale hakuna mtu anaweza fika
Umevutiwa na hisia zanguKumbe unapata hisia
Wakati nchi za wenzetu dira zao zinaamini katika Science,Research and development katika ku-propel and ku-prosper za kwetu bado zinaamini katika mawazo ya viongozi ili ku-propel.
Na wakati mwingine mawazo yao huwa ya kijinga kwa maana viongozi wetu wengi hupenda kusifiwa hata kwa ujinga ili kuonesha hakuna wengine bora zaidi ya wao
Pengine hufanya hivi wapate kibali cha kuendelea kutawala kwa faida zao binafsi.
Kama Marekani ingekuwa Tanzania kwa mfano leo Trump angekuwa Rais Marekani.
Lakini pia kwa yale ya kijinga ya Trump hawakusita kumkemea na kurekebisha.
Hii ndio misingi ya nchi inayoamini katika Facts na sio pompousity ya mtu.
Moja kati ya mambo muhimu yaliyomuharibia Trump credit ni pamoja na jinsi alivyoshughulikia mlipuko wa korona mwanzoni mwa mlipuko.
Jambo ambalo pia ndio msingi wa tatizo lile lile hapa kwetu lakini outcome kwa watu walio-base kwenye science and Facts ni tofauti na sisi tulio-base kwenye busara za viongozi hata kama busara ni primitive, unstandard and uncivillized.
Leo, wataalamu wetu wa afya kwa mfano, wanashindwa kufanya kazi zao kwa sababu kazi zao zinapingana na fikra za kiongozi mmoja asiyeamini katika nisingi ya tiba based on science.
Kesho idara za fedha zinaweza kuingiliwa pia na mtu sababu ni kiongozi na mawazo yake hayapingwi na si mtaalamu wa fedha
Kesho, idara ya kilimo, utafiti n.k vitaingiliwa. Sasa badala vyombo vyetu vimpe ushauri wa kitaalamu, kiongozi ndiye kawa mshauri wa vyombo vyetu.
Mungu wabariki watanzania, akili zao mgando zizidi kufunguka.
Mungu wabariki Waafrica waondokane na ujinga.
Ahsanteni kwa mjadala huu!
Wangekuwa na raslimali ka za Waafrika, mzungu hangemfikia hata kidogo. Sahi huko jangwani na anafanya maajabu kila kukicha, hyperloop iko stages za mwanzo testing, flying taxis tayari wameanza testing mijini juu ya maghorofa yao, yaani wanakwenda kwa mwendo kasi aisee. Yule mtu pesa anajua kuzitumia vizuri sio ka sisi kufuja tu daily.Dubai wana project ya hyperloop train.Wana project ya gari la umeme wana loroject ya flying tax.Wanategemea mafuta na biashara ila wametuacha maendeleo.Si dhani kama Dubai wana rasilimali kama zetu TZ kuanzia wingi wa maji,misitu madini ardhi ya kulima,mifugo nk
Warabu sasa hivi wana fanya partinership na China na USA huenda tukabaki peke yetu au na latinos America. Hapa Africa naiona kidogo Nigeria na Ghana kwa mbali wanajaribu project za maana.Wangekuwa na raslimali ka za Waafrika, mzungu hangemfikia hata kidogo. Sahi huko jangwani na anafanya maajabu kila kukicha, hyperloop iko stages za mwanzo testing, flying taxis tayari wameanza testing mijini juu ya maghorofa yao, yaani wanakwenda kwa mwendo kasi aisee. Yule mtu pesa anajua kuzitumia vizuri sio ka sisi kufuja tu daily.
✌️
Afrika itabaki kuwa Afrika, SA wangekuwa wamewakilisha toka kitambo sababu wako na vifaa vingi tu ila ata siwaelewe wale na wazungu wao, wanalala sana! 🤣Warabu sasa hivi wana fanya partinership na China na USA huenda tukabaki peke yetu au na latinos America. Hapa Africa naiona kidogo Nigeria na Ghana kwa mbali wanajaribu project za maana.
SA walikuwa na nafasi ya kwenda mbele badala yake wamerudi nyuma.