Soma vizuri hayo maandishi madogo hapo chini ya tangazo mkuuKwa mujibu wa tangazo, inaonekana dressing code inawahusu wafanyakazi tu, lkn wakifanya hivyo kwa wanafunzi itakuwa sio mbaya. Utafurahia kunuona binti au kijana wako wa kiume anakuvalia hivyo nyumbani kwako?
Vv
Aah suit kwenye lecture hata sio mwakeSuti zitapendezesha chuo....
Inaanza kama hivyo ila ndivyo ilivyoImeandikwa " You are ADVISED "
kwahiyo ni ushauri tu na siyo lazima
Badilisha Mkuu
Students au Wafanyakazi.!?Imeandikwa " You are ADVISED "
kwahiyo ni ushauri tu na siyo lazima
Leo nimefarijika sana kuona Udsm by laws ikiradidi maelekezo kutoka kwenye nyaraka mbalimbali za watumishi wa Umma kuwa kuanzia sasa ni muhimu kuzingatia maelekezo ya nyaraka za mavazi.
View attachment 1249955
Ukiangalia vizuri picha walengwa hasa ni Wafrika,hata hivyo inaweza kuwa mfano pia na kwa wageni.UDSM ni chuo cha kimataifa, suala ni je, hizo dressing code ni kwa ajili ya Watanzania pekee au hata walr wa kimataifa? Nauliza hivi kwa kuwa uvaaji huu wa kisasa wa kiuchi-uchi kwa wanawake na wanaume wengi wa Kitanzania, umeigwa kutoka Marekani na Ulaya.
Vv
Wote,maana wafanyakazi ni sehemu ya jumuiya ya chuo.Students au Wafanyakazi.!?
Nimepita leo mkuu nimeona ila watazingua nilikua napenda washkaji wanavaa wanavyotaka tatizo lipo kwa dada zetu nilikua nachukia sana chuo chetu IFM kuzingatia dressing codeLeo nimefarijika sana kuona Udsm by laws ikiradidi maelekezo kutoka kwenye nyaraka mbalimbali za watumishi wa Umma kuwa kuanzia sasa ni muhimu kuzingatia maelekezo ya nyaraka za mavazi.
View attachment 1249955
Hypocrisy....they should let students be students,teenagers be teenagers!What is the funny part of being a student if you can’t wear a pair of jeans .
Watafeli..Wote,maana wafanyakazi ni sehemu ya jumuiya ya chuo.
cc. Petro E. Mselewa kwa ufafanuzi/nyongeza.
Trust me,wale mgambo watazuia watu waliovaa kinyumeImeandikwa " You are ADVISED "
kwahiyo ni ushauri tu na siyo lazima
PreciselyHypocrisy....they should let students be students,teenagers be teenagers!