Hatimaye Chuo cha Dar es Salaam kimeanza kuzingatia uvaaji wa mavazi kwa wanafunzi

Hatimaye Chuo cha Dar es Salaam kimeanza kuzingatia uvaaji wa mavazi kwa wanafunzi

Tabia ya mtu sio mavazi wala huwezi kumjua mtu kwa tabia za njee ndio maana kuna mapadri wanalawiti na kubaka!
Kulawiti na kubaka sio kigezo cha kuruhusu uholela wa uvaaji mavazi.
Mbinu kama hii hapo baadae itazoeleka na kusambaa katika jamii nzima nje ya chuo na nchi kwa ujumla.
Mavazi nao yana nafasi ya kuelezea tabia za mtu,ingawa inaweza kubadilika kulingana na mazingira.
 
kuzuia students kuvaa jean huu ni ukolomije, wanataka vijana wavae buga...? mambo yamebadilika, nyerere kesha kwenda bhana
 
Leo nimefarijika sana kuona Udsm by laws ikiradidi maelekezo kutoka kwenye nyaraka mbalimbali za watumishi wa Umma kuwa kuanzia sasa ni muhimu kuzingatia maelekezo ya nyaraka za mavazi.
View attachment 1249955
Kwenye hili kuna watu watakwazika sana na hili hasa wale wenye kupenda kula kwa macho. Lakini mbona kanzu haipo kwenye mavazi yaliyokatazwa wala mavazi yaliyokubaliwa?
 
Wenye kuoneshaa
Vyura Kazi wanayoooo

Ova
 
Leo nimefarijika sana kuona Udsm by laws ikiradidi maelekezo kutoka kwenye nyaraka mbalimbali za watumishi wa Umma kuwa kuanzia sasa ni muhimu kuzingatia maelekezo ya nyaraka za mavazi.
View attachment 1249955
Tuone itakavyosaidia kutoa wahitimu wanaotosheleza soko kwa viwango vinavyotakiwa katika ujuzi na kuutumia kuleta mabadiliko.
 
Huu ni ulimbukeni, waache vijana wale maisha, wakati nyinyi mnasoma nani aliwaekea hizo sheria ? mwanafunzi anatakiwa awe comfortable awe huru, subirini wakienda huko makazini watavaa mnavyotaka.
Watu wanazeeshwa kabla ya wakati
 
Hapa Sijui itakuwaje kwa wale Wanaosoma CREATIVE ARTS and MUSICS au nao wataonekana kama Maengeneer wa COET.
Sio mbaya wametoa Ushauri tu not ORDER!
 
Ya kuzuia mapaja na makalio ya watoto wetu/wake zetu/mashemeji zetu yaliyowekwa artificial buttocks ili wasivutie wanaume.

Sawa we fala?
Hicho chuo ndicho pekee cha kimataifa hapa nchini hayo ma dress code ya nini!?
 
Wote,kwani wafanyakazi na wanafunzi wanatakiwa kukaa mnuso wa kiuchi uchi?

Uongozi ukazie hapo hapo.Kwenye mdigrii tumechoka kuona michirizi na mitepeto ya makalio ikining'inia

Students au Wafanyakazi.!?
 
Ethics are very important to be followed by any one in a University community!!! We can't separate a person by age!!!

Better to screw them while they are still teenagers,not wait until they become grandmother/grandfather!!!

Ok dudeeee?? Yeyeyeee what's up man!!!!
Hypocrisy....they should let students be students,teenagers be teenagers!
 
Hapa ndipo wanakwama; mie chuo nilichosoma hawakuwa na hawanahaja ya kukumbusha dress code because academic drills unazopewa hupati time ya kuvaa hovyo
What is the funny part of being a student if you can’t wear a pair of jeans .
 
Back
Top Bottom