Hatimaye Chuo cha Dar es Salaam kimeanza kuzingatia uvaaji wa mavazi kwa wanafunzi

Ya kuzuia mapaja na makalio ya watoto wetu/wake zetu/mashemeji zetu yaliyowekwa artificial buttocks ili wasivutie wanaume.

Sawa we fala?
Unategemea Chuo kikuandalie Mke!?

Useless.
 
You're advised vs You're NOT expected!!!

Hakuna shuruti kwenye kufuata ushauri, na kutarajia hakuna guarantee!! Nikisema natarajia kuja kesho, na nisipokuja, huwezi kunitolea povu, kwa sababu sikusema ninakuja kesho bali nataria!!
 
Unategemea Chuo kikuandalie Mke!?

Useless.
We pimbi kweli.Sio chuo kituandalie mke/wake bali nilichomaanisha ni kuwa wanaovaa ovyo wengine ni wake za watu/wetu walioenda kusoma kukengeuka chuoni kwa mobu psychology!!

Au umeelewaje?matako yako!!!
 
We pimbi kweli.Sio chuo kituandalie mke/wake bali nilichomaanisha ni kuwa wanaovaa ovyo wengine ni wake za watu/wetu walioenda kusoma kukengeuka chuoni kwa mobu psychology!!

Au umeelewaje?matako yako!!!
Wewe inakuhusu nini!? Avae mke Wa mwingine we unyegeke...

Kapambane na mkeo..
 
Ok,sasa kumbe umeelewa nilichosema?Uwe unasoma na kuwazua kwanza kabla ya kurusha tako.

Hahahaha mkuu
Wewe inakuhusu nini!? Avae mke Wa mwingine we unyegeke...

Kapambane na mkeo..
 
Soma vizuri hayo maandishi madogo hapo chini ya tangazo mkuu
Nadhani hili ni pigo kubwa kwa wale wanafunzi wa kike wanaorumia vivazi kutafuta marks na degree bila jasho. Itachangia kuongeza kiwango cha taaluma.

Vv
 
Kabisa mkuu, samaki hukunjwa akiwa mbichi, akishakauka hakunjiki. Ndio maana siku hizi hata wakuna mama wa makamo wanavaa vivazi hadi unaona aibu kuwatazama.

Vv
 
Itabidi wawe wanavaa madera sasa kamaa vitop na vimini vitazuiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…