Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba hawezi kufanya huo uhuni, kwani wangekuwa na shida naye wangemalizana naye kabla hata ya miezi sita iliyopita. Ukurasa wa Chama na Simba ulifungwa rasmi tarehe 30 June 2024Mbona kulikuwa na tetesi kuwa amesaini Timu 2 (Simba na Yanga)!
msimu wa 2024/2025 utopwinyo watashika nafasi ya tatu. 1 simba 2 azam, 3 nyuma mwikoYanga ni timu ya wananchi wenye akili timamu
Kimwauma sana ndiyo maana wakashindwa kutoa thank youTunasubiri,ila mmemnyima thank you.
Wanajikaza sana humu jukwaani ila mtaani humu,kila mtu anasonya.Kimwauma sana ndiyo maana wakashindwa kutoa thank you
Sijampitisha mchezaji yeyote zaidi ya Guede!Nikiwa kama shabiki lia lia wa Young Africans, namkaribisha kwa mikono miwili, na pia namtakia mafanikio mema katika maisha yake mapya.
Na hii ifahamike wazi michezo ni kama siasa! Hakuna adui wa kudumu.
Huyu Guede huyu ninamuonea sana wivu kila unapomtaja! Kama vipi bora Yanga wamuache tu. ☹️Sijampitisha mchezaji yeyote zaidi ya Guede!