Ivi kweli, Kafulila ni maneno matupu?
1. Kuvunja mkataba na CHICCO baada ya kuteengeneza barabara chini ya kiwango na kuokoa fedha za serikali 15bilioni ni maneno matupu haya?
2. Ivi kweli kuzui michomoko iliyoua maelfu Tanzania ni maneno matupu?
3. Ivi kweli Kuongeza bei ya pamba toka 800/kg mpaka 1,800/kg haya ni maneno matupu?
4. Ivi kweli kukamata wezi wa Pamba na kuwafunga na wengine kujinyonga ni haya ni maneno matupu?
5. Kumnyang'anya kada wa CCM yaani MNEC soko la madini alilolimiliki kinyume cha sheria haya ni maneno matupu?
Let's be serious guys Kafulila ni asset kwa Taifa letu,
Ova.