hguy platnumz
Member
- Feb 23, 2020
- 80
- 51
dangote baba laoKweli harmonize anawapeleka puta, hii yote ni "attitude" ndio inaleta shida kule upande wa pili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dangote baba laoKweli harmonize anawapeleka puta, hii yote ni "attitude" ndio inaleta shida kule upande wa pili
Kutumia nguvu kubwa kuandika maendeleo ya mwenzako ili hali hata yeyet hajadeclear kihivyo huku unawananga wengine ni uchawa, halafu ni ushamba inawezekana hata 100,000 hapo mfukoni huna.Diamond ametimiza ndoto yake ya kuwa na ndege binafsi.
Anakuwa msanii wa pili Africa kuwa na private jet.
Mdogo mdogo watakubali tu level za Diamond ni kubwa sana kwa sasa.
Kuna swali naona linaulizwa sana huko insta eti anawezaje kumiliki Jet wakati amepanga nyumba....Soon mtajibiwa kwa vitendo, inaweza ikawa ni kitu kikubwa kuwai tokea Africa nzima. 😊😊😊
View attachment 1762066View attachment 1762065
Anayenunua ndege hawezi kuishi nyumba ya kupangaAisee nimegundua watanzania ni wachawi Sana 😂😂 jamaa kununua ndenge imekuwa nongwa daaah
Wanazingua hawa waswahiliHahahah daah chalii angu umechafukwa.
Kutrend hata amber ruty alitrend. Alafu mbona mnalazimisha sana kupambana na wasafi kwani hamuwezi kufanya mziki wenu bila kuhusisha wasafi?
were de pate to de?I wan’tu shoo de’ma attitude!
😂 😂 😂Hawezi kununua wala kumiliki ndege..
Kwahiyo kahama kwenye ile nyumba yake Madale kaenda kupanga?? Duuuh ni tajiri huyo
Hahahaha nyie jamaaawere de pate to de?
Ni wivu2.Private Jet sio makende kwamba kila mtu anayo!
Unazungumzia more than 30B cash money! Hio hela huyo ndugu yenu hana bana asitafute kiki za ajabu! Maintanace tu ya ndege inaitoa jasho serikali ndio atakuwa huyo fara from Tandale?
Nakazia hapa hapa.Private Jet sio makende kwamba kila mtu anayo!
Unazungumzia more than 30B cash money! Hio hela huyo ndugu yenu hana bana asitafute kiki za ajabu! Maintanace tu ya ndege inaitoa jasho serikali ndio atakuwa huyo fara from Tandale?
Namuonaeaje wivu mtu kama Diamond mzee! Hilo naongea ukweli tu wala sio wivu. Hela hio hana kwa sasa labda akifika miaka 50 pengine atakuwa na hela hio...Akichange change kwanzaNi wivu2.