Hatimaye Diamond Platnumz amepatana na baba yake, sasa anatoa fedha za matumizi

Hatimaye Diamond Platnumz amepatana na baba yake, sasa anatoa fedha za matumizi

Kwakukosana na babayake hilo linaonesha jinsi alivyo mjinga wawezaje kukosana na baba mzazi kisa maneno yamama hawa wakinamama huwawanamanene maneno sana hasawanapoona watoto wameanzakupata fedha
 
Kwakukosana na babayake hilo linaonesha jinsi alivyo mjinga wawezaje kukosana na baba mzazi kisa maneno yamama hawa wakinamama huwawanamanene maneno sana hasawanapoona watoto wameanzakupata fedha
Kwa comment hii humu ndani kuna haja ya kufanya uhakiki,we sio wa jf.
 
Msanii Diamond Platnumz amemaliza tofauti na baba yake mzazi na sasa anampa fedha za matumizi anapohitaji
Mwanzoni msanii huyo alikuwa na bifu na mzazi wake huyo kwa sababu alimtelekeza alipokuwa mdogo

safi Dangote
 
Akienda maliwato pia mje kuanzisha uzi. JF kuanzisha uzi ni bure kabisa.
 
Ni jambo la msingi kwa Diamond..... Pia ni il'm kwetu sisi Wanaume/ kinababa.

Tukiamua kuwakataa watoto basi tuwakatae moja kwa moja... Sio wakianza kuwa na mafanikio tunaanza kulia lia...
 
Back
Top Bottom